Ugomvi katika mahusiano ni afya

Ugomvi katika mahusiano ni afya

Ahsante subir nilianzishe leo naweka chumvi nyingi kwenye samaki!!! (Huu wa maksudi sijui nao ndio umo miongoni mwa uliongolea)

Hiyo tahadhari ni nzuri kweli me hata usipontahadharisha sipigani ng'o ubavu huo sina ati

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ahsante subir nilianzishe leo naweka chumvi nyingi kwenye samaki!!! (Huu wa maksudi sijui nao ndio umo miongoni mwa uliongolea)

Hiyo tahadhari ni nzuri kweli me hata usipontahadharisha sipigani ng'o ubavu huo sina ati

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

^^
Ha haaa huo wa makusudi,andaa machozi
^^
 
Ugomvi ni mzuri kwa maana ya kujua maeneo ambayo mnaweza kukwazana ili kuyaepuka kipindi kijacho. Lakini unakuta siku nyingine mtu anaanza tu visa kana kwamba ana hamu na ndondi au kununiana. Au wengine wana kuwa na wivu usio na kichwa wala miguu. Kwangu mimi wivu sio ishara ya upendo bali ni uoga tu. Uoga wa kumpoteza mtu haimaanishi unampenda. Yaweza kuwa kimaslahi zaidi.
 
Sidhani kuwa mara zote ugomvi unajenga, kuna wakati ugomvi unabomoa, hasa kwa vitu vya kujirudia rudia, kwa makosa yanayogusa moyo wa mwenza wako. Kugombana kwa makosa ya infidelity kunabomoa mtu asikuambie. Kuna vitu kama mmoja kutopendezwa na tabia flani za mwenzake, kama uvutaji, unywaji...hizi ni za kujirudia na kwa mtizamo wangu hazijengi hata kidogo.
 
Katika ugomvi unatakiwa kununa siku ngapi...? Nisije nikapitiliza siku za kununa.....
 
Hahahaaa, mbembeleze akujibu kule kwa Prime Minister, halafu utanambia na mimi kule kule.

^^
Kuna maswali mengine hutakiwi kuyajibu bali huwa ni ushauri !!!
Kuhusu PM juzi kulikuwa na mada ya lala 1, nilishangaa sana kuona jinsi wanawake wa Jf wanavyochukulia suala la PM, Nilijifunza mengi, na nitatumia vizuri nilichojifunza wakati wote niwapo Jf.
Cc: Kim nana Luv nameless girl gorgeousmimi Simphola
^^
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kuwa mara zote ugomvi unajenga, kuna wakati ugomvi unabomoa, hasa kwa vitu vya kujirudia rudia, kwa makosa yanayogusa moyo wa mwenza wako. Kugombana kwa makosa ya infidelity kunabomoa mtu asikuambie. Kuna vitu kama mmoja kutopendezwa na tabia flani za mwenzake, kama uvutaji, unywaji...hizi ni za kujirudia na kwa mtizamo wangu hazijengi hata kidogo.

^^
Uko sahihi Mkuu, Maudhi yanayojirudia rudia yanakatisha tamaa, yakizidi huwa tabia. Kama wanandoa waelewa yanaweza kupuuzwa na yale mazuri ya mahusiano yakapewa mkazo.
^^
 
Ambassador of house ten ten! anafaidika sana na ndoa zenye magomvi

^^
Kweli Bujibuji ndio maana mwishoni mwa thread nimetahadharisha wanandoa kutogombana ili wawape faida wengine!
^^
 
Last edited by a moderator:
^^
Uko sahihi Mkuu, Maudhi yanayojirudia rudia yanakatisha tamaa, yakizidi huwa tabia. Kama wanandoa waelewa yanaweza kupuuzwa na yale mazuri ya mahusiano yakapewa mkazo.
^^

Umeongea vyema, lakini nadhani pia wanandoa wakishakuwa na tabia ya kupuuza baadhi ya "matatizo", chanzo cha kupungua upendo ndio hicho. Ukisema " aaah, mke wangu nimemzoea na tabia yake ya uchafu" unapuuza lakini tayari Kuna element umeijwnga mawazoni ambayo inaathiri upendo wako kwake..
 
Back
Top Bottom