Inakera sana!!!!!! Taja kero yako.....

Inakera sana!!!!!! Taja kero yako.....

Mtu anaomba umkopeshe hela kwa huruma unampa, anakutajia na siku ya kurudisha.Tarehe inafika mtu hatokei, unajaribu kumkumbusha, jibu lake nakukumbuka mpenzi ntakupa tu.
 
1)Umepumzika kwa raha zako baada ya kuchoka siku nzima alafu ile unafumba jicho unakuta utafiti ame bipu unamtwangia anakujibu nlikua nakusalimia tu.....wallah waweza mmeza mzima mzima kwa hasira lol


(2)Umekazana zako safarini waelekea kuwahi mahala mtu anakusamamisha unamsikiliza jibu oooooh sorry nimekufananisha umefanana na sana Karucee huyu lazma umpandie mgongoni umfanye punda ili uwahi safar yako lol

Hebu na wewe sema kitu kinachokukera

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

hahahaaaaa. lol. nitarudi kueleza kero yangu.
 
Inakera siku umechelewa mfano kwenye appointment unasubiri basi nalo limechelewa,ukichangia kuna baridi nje…kisha linakuja bus limejaa pomoni haliwezi hata kusimama linakupita :shock: inabidi usubiri next buss:sad:
 
Unawahi sehem fulani muhimu unafika kwenye mataa wewe unakaribia kuyapita inawaka red.....

Hahahaha!!!! kuna vichaa wanapita ata kwa red

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Inakera siku umechelewa mfano kwenye appointment unasubiri basi nalo limechelewa,ukichangia kuna baridi nje…kisha linakuja bus limejaa pomoni haliwezi hata kusimama linakupita :shock: inabidi usubiri next buss:sad:

Hahahaha na siku ukiwa huna haraka yatapita yameongozana kama msafara wa raisi lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mtu anaomba umkopeshe hela kwa huruma unampa, anakutajia na siku ya kurudisha.Tarehe inafika mtu hatokei, unajaribu kumkumbusha, jibu lake nakukumbuka mpenzi ntakupa tu.

Hahahahaha umeitwa mpenzi hafla chezea hela eeeeh ndio anakupaka girisi ulainike ati upunguze hasira za kumdai lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
kumbe limekukwaza umeona unilipue hapa kwani nilikwamisha appointment yako
Mnakubaliana na mtu mkutane mahali saa flani,we unafika utakaa mpaka masaa mawili bado anasema yupo njiani karibia anafika.
 
yaani inakera sana mtu anaomba msaada mpaka anakupigia magoti kisa umpe
na ukishampa wala hakumbuki kabisa kuwa kuna mtu alimsaidia waone hawa:

ccm.jpg
 
Ina kera sana kuna baadhi ya watu humu ana-quote thread lote kubwa halafu anaandika maneno matatu tu
 
Ina kera sana kuna baadhi ya watu humu ana-quote thread lote kubwa halafu anaandika maneno matatu tu

hahahahaah,,,,,sasa uwe na simu ya kichina uta-scroll hilo li-thread hadi simu ina-stuck.
 
Inakera sana mtu amepiga simu kama hujamtambua ukamuuliza nani akaanza kuleta porojo eeh yani umefuta namba yangu! Wanakera hawa watu maana unaweza kuta ndio umetoka kurenew sim card yako
 
Back
Top Bottom