unaweza kuishi vizuuri sana bila hata mchekpuko kwani hata mie wangu yuko mbali naishi
flesh na tena niko vizuri nikiona mambo hayo najitahidi kuomba na kusali kisha vinatoka kichwani mwangu
Asante, ushauri mzuri sana.
unaweza kuishi vizuuri sana bila hata mchekpuko kwani hata mie wangu yuko mbali naishi
flesh na tena niko vizuri nikiona mambo hayo najitahidi kuomba na kusali kisha vinatoka kichwani mwangu
for sure i love to see ma smile in ma face .... no one take ma joy never allow that again aiseee...
Well, i would also love to see that smile Madam 🙂
kama kuna mtu anakufatilia na unaona anaweza kuwa na interest sawa na wewe inaweza kuwa ni wakati muafaka wa kumkubalia au kama kuna mtu umetokea kumpenda unaweza kumueleza juu ya hisia zako vilevile🙂
Ni kweli wengi wanasema hivyo lakini si wote wanayafuata hayo...Wanaume wengi wa kibongo ukimueleza hisia zako anakula kona. Eti nasikia wanapendaga wafukuzie wenyewe!!!
Kweli na hii inahusika sana sema mdau hajaitaja tu.
anzisha uhusiano mpya ule wa zamani achana nao kabisa
tena ukiona unakusogelea ukwepe kwa maili 7000 hivi
utajiona halafu hautakufuata si umeona kwangu binamu?
kama kuna mtu anakufatilia na unaona anaweza kuwa na interest sawa na wewe inaweza kuwa ni wakati muafaka wa kumkubalia au kama kuna mtu umetokea kumpenda unaweza kumueleza juu ya hisia zako vilevile🙂
upweke... I miss my 1230km beautiful princess.
she is awesome and courageous.
Dah... Hapo kwwenye red ndipo pagumu, make wengine wanachukulia for granted, ukionesha unawapenda wanakuzuga kukupenda afu mwisho wa siku wanakudump unabaki unaumia tu!
Kwenye blue, kuna mtu ananifuatilia ila ana masharti magumu afu kama namstukia ananijaribu, et anataka nikalale kwake afu hajawahi kunambia kama ananipenda, yeye ni karibu kwangu unitembelee uje ulale hata siku moja lol!!! Majangaaaaaaaaaa.............................
Dah... Hapo kwwenye red ndipo pagumu, make wengine wanachukulia for granted, ukionesha unawapenda wanakuzuga kukupenda afu mwisho wa siku wanakudump unabaki unaumia tu!
Kwenye blue, kuna mtu ananifuatilia ila ana masharti magumu afu kama namstukia ananijaribu, et anataka nikalale kwake afu hajawahi kunambia kama ananipenda, yeye ni karibu kwangu unitembelee uje ulale hata siku moja lol!!! Majangaaaaaaaaaa.............................
Ukalale kwake mmmh....nadhani ushapata ishara kipi anachokitaka kutoka kwako!