Mmmh wanaume wengine wana hila, kisa cha kumtoa mwenzie malengelenge ya k...? Aaah bwana aweke tomato sauce kisha aanze kulalamika p zake zipo irregular.... walau apumue! Au ndege huwa inatua kwenye tope pia?!
Ni too much kwa kweli, sidhan kama huyo mwanamke anapata raha zaidi ya kuumia. Nampa pole aise, japo ni tam! Ila ikizidi chungu....lol!
Sio wewe kweli??Haya ni maneno ya mfanyakazi mwenzangu akilalamika mumewe anataka kumgegeda kila siku anasema imekuwa ni tabia mpaka na yeye amezoe ikitokea siku mbili kajifanya bizy kutompa basi humo ndani mume ni kununa tu mwanzo mwisho, swali anauliza kiafya sio mbaya mana anaona kama ni tatizo kila siku lazima awajibike kumpa mpaka anasema siku asipodai tu atajua kachepuka na pia anahisi asipompa atachepuka nje wanajamvi tumshauri najua hapa haliharibiki jambo wenye matusi kwenuuu hapa jf raha tuu.
Haya ni maneno ya mfanyakazi mwenzangu akilalamika mumewe anataka kumgegeda kila siku anasema imekuwa ni tabia mpaka na yeye amezoe ikitokea siku mbili kajifanya bizy kutompa basi humo ndani mume ni kununa tu mwanzo mwisho, swali anauliza kiafya sio mbaya mana anaona kama ni tatizo kila siku lazima awajibike kumpa mpaka anasema siku asipodai tu atajua kachepuka na pia anahisi asipompa atachepuka nje wanajamvi tumshauri najua hapa haliharibiki jambo wenye matusi kwenuuu hapa jf raha tuu.
Hata mimi naona hapati raha mpaka ameamua kufunguka sio mchezo na anahofia akimnyima,tu atatoka nje kweli anajilazimisha
Muambie apunguze maufundi.
ila jamaa anaweza kuwa mgonjwa huyo. Mkewe akisafiri mwezi mzima itakuwaje?
Watu wanapiga 365 yaani kila siku tena kama dawa Kutwa mara Tatu, asubuhi machana na jioni