Recent content by machaba

  1. M

    Mhadhiri Shoo wa Chuo cha Diplomasia achemka kuhusu Uchaguzi Zanzibar

    Magufuli alikwenda Zanzibar kuomba kura na wale wananchi wakawapigia kura wagombea waliokuwa wanagombea bara.sasa kama magufuli hawezi kuingilia jambo ambalo hao wazanzibar wamehusika kumuingiza madarakani iweje Leo hana mpango nao haya ni maajabu.
  2. M

    Kosa la CHADEMA kumpokea Lowassa linatumiwa vizuri na CCM

    Hivi magode kura alizopata lowassa kwa mujibu wa tume ya ccm ni uthibitisho kwamba wananchi walitambua lowassa alikuwa anazushiwa.huwezi kuja hapa na hoja dhaifu ambayo haina utafiti.lowassa angepata kura chache kuliko wagombea wa upinzani waliopita ungekuwa na hoja.
  3. M

    Nyumba ya kupanga inahitajika Dar

    Na Mimi natafuta nyumba maeneo ya Tabata bajeti 150000.namba 0719039081.
  4. M

    Picha: Bashe na Kubenea Wakizozana Na Nape

    Kwani nape anahangaika na matatizo ya watanzania au ccm.hili ndilo tatizo LA ccm wengi wanaona chama ni bora kuliko nchi.wapo Tayari kufanya jambo baya kwa maslahi ya chama
  5. M

    Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni tena, ni baada ya kunyimwa nafasi ya Muongozo

    We unaona ni utaratibu UPI wangeutumia.kama wameomba muongozo na wamekataliwa.
  6. M

    Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni tena, ni baada ya kunyimwa nafasi ya Muongozo

    Binge LA uingereza inafikia viti vinarushwa na ngumi zinapigwa mnapoona hakuna demokrasia zaidi ya kuburuzana
  7. M

    Hongera Nape

    Kama umetumwa na nape umetia aibu humu kama yeye alivyoweka rekodi ya kuwa kilaza asiyejua ajibu nini.nafikiri alijilaumu sana kuitisha press conference.
  8. M

    Pikipiki za honda zinauzwa

    Naomba unitumie picha 0719039081
  9. M

    Vyama vya siasa vyaaswa kushiriki Uchaguzi wa Zanzibar

    Hivi huyu msajili ametumwa? Inawezekaje ukawa unashiriki uchaguzi huku mpinzani wako anayetawala haonyeshi dalili ya kutoka madarakani hata kama ameshindwa.huyu msajili angekuwa ni muungwana kama angekemea kauli za kibaguzi zinazotolewa na ccm sio kuja na pumba zake hapa.
  10. M

    TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

    Hivi bunge ndo linalipia vipindi au serikali.wanaojua hili watujuze.
  11. M

    Waziri Nape Nnauye hajui maana ya TFF

    Yule jamaa ni mnazi wa ccm.atajifunza lipi zaidi ya taarabu.
  12. M

    Madai yaliyosambaa hivi kuhusu msukule si kweli

    Mbona Kuna clip ilitupiwa Facebook na askari walikuwepo pale wakimbembeleza atoke nje.wewe umelipwa uje useme pumba zako hapa.
  13. M

    Ni vita baridi kati ya Kikwete na Magufuli

    Sasa na wewe umeandika nini.na wewe ni jipu
  14. M

    Bunge Linaendelea Ila Tv stations Zipo kimya, wanaficha nini?

    Hili jambo magufuli anahusika na serikali yake.watakuwa wametoa maelekezo.
  15. M

    Nashangaa wabongo wanaowashobokea wayahudi

    Huko Israel kuna madhehebu ya kikristo mfano roman.hats kipindi cha yesu ubaguzi wa wafuasi wa yesu ulikuwepo kwa hiyo kuna waisrael ambao ni wakristo na wasio wakristo.
Back
Top Bottom