Bunge Linaendelea Ila Tv stations Zipo kimya, wanaficha nini?

Pagan Amum

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
1,932
4,403
Yaani TBC wanajua kabisa bunge limeanza Dodoma. Ila cha kushangaza badala muonyeshe matangazo ya bunge mko busy na mziki...

Tafadhali Magufuli, tumbua mkurugenzi wa TBC.... Hajui kazi yake na ni wa ovyo kabisa
Bunge la 11 limeanza kwa dosari baada ya vyombo vya habari kuonyesha dadili za kuficha jambo

Bunge ni la wananchi cha kushangaza mkutano unaendelea lakini TV station zote tulizozoea wanarusha matangazo ya Live zipo kimya

Kuna nini chini ya kapeti?Au ndio ukali wa mijadala umeanza kuogopesha wakubwa?
 
Tusipopigania TBC kunyang'anywa hii monopoly ya vipindi vya bunge hii kitu itaendelea kuwa tambazi.
Yaani TBC wanajua kabisa bunge limeanza Dodoma. Ila cha kushangaza badala muonyeshe matangazo ya bunge mko busy na mziki...

Tafadhali Magufuli, tumbua mkurugenzi wa TBC.... Hajui kazi yake na ni wa ovyo kabisa
 
Hapo magufuli hana meno atabaki kufukuza watumishi wazelendo wa umma Hawaï kwa kuwa wanafanya kwa niaba ya ccm uwezo huo hana ajaribu kama kesho hajaitwa Lumumba na cc na kupewa tena mwongozo na onyo kali
 
Mmh mnampigia Mbuzi gitaa. Hao wamepewa maelekezo maalumu na serikali ili kuzuia kitakachiosemwa na UKAWA bungeni kisionekana kwenye Public
 
Bunge la 11 limeanza kwa dosari baada ya vyombo vya habari kuonyesha dadili za kuficha jambo

Bunge ni la wananchi cha kushangaza mkutano unaendelea lakini TV station zote tulizozoea wanarusha matangazo ya Live zipo kimya

Kuna nini chini ya kapeti?Au ndio ukali wa mijadala umeanza kuogopesha wakubwa?
 
TBC walivyo wa hovyo unaweza ukakuta wanarusha ile hotuba ya magufuli siku ya ufunguzi wa bunge.
 
Yaani TBC wanajua kabisa bunge limeanza Dodoma. Ila cha kushangaza badala muonyeshe matangazo ya bunge mko busy na mziki...

Tafadhali Magufuli, tumbua mkurugenzi wa TBC.... Hajui kazi yake na ni wa ovyo kabisa
tbc leo watakuwa na kipindi cha harusi pengine
 
Yaani TBC wanajua kabisa bunge limeanza Dodoma. Ila cha kushangaza badala muonyeshe matangazo ya bunge mko busy na mziki...

Tafadhali Magufuli, tumbua mkurugenzi wa TBC.... Hajui kazi yake na ni wa ovyo kabisa
azamtv XTRA ipo live toka asubuhi
 
Back
Top Bottom