Nyumba ya kupanga inahitajika Dar

Nyumba ya kupanga inahitajika Dar

Bei kias gan hko makongo juu
Ipo ya laki nne kodi ya mwaka, Nyumba unajitegemea ndani ya fence!
Pia ipo apartment bei ni laki tano kodi ya miezi 6! Zote ni vyumba viwili kimoja master bedroom, sebule, jiko na choo!
 
Mwenye nyumba kimara vyumba 2,kmoja master,parking,uzio na geti..isiwe ya zaman
 
Na Mimi natafuta nyumba maeneo ya Tabata bajeti 150000.namba 0719039081.
 
Kama hujui kuwa dalali wa nyumba analipwa hela ya udalali, wewe sio mpangaji...
Nadhani hujaelewa swali mkuu umesema kodi laki 6 plus udalali ina maana hela ya udalali ipo ndani ya hii sita au nje....
Naona unatumia ubabe kujibu maswali mkuu sio kesi hii... Just relax kuwa mpangaji au kutokua mpangaji kuwajua madalali au kutowajua sio sifa....
Mbona wengi wanapanga bila madalali? So sio lazma nielewe kila kitu... Wewe elekeza full stop sio uanze kufanya ligi....
 
Mkuu ulipata nyumba?bado ipo no dalali,ni mpya haijakaliwa bado!apartment 2 in one!kila mmoja anatumia gate lake!AC ipo LG sitting room peke yake!each room in feni la juu aina ya Panasonic.

Parking zinaingia gari ndogo 2 kwa wakati mmoja.

Madalali siwapend wasumbufu sana wanakomaa walipwe kodi ya mwez mmoja kutoka kwa mpangaji,huo ni wizi wa mchana kweupe!wangekua wanataka hata laki 2 at least!sasa uwape laki 6 zote aisee!
 
Mkuu ulipata nyumba?bado ipo no dalali,ni mpya haijakaliwa bado!apartment 2 in one!kila mmoja anatumia gate lake!AC ipo LG sitting room peke yake!each room in feni la juu aina ya Panasonic.

Parking zinaingia gari ndogo 2 kwa wakati mmoja.

Madalali siwapend wasumbufu sana wanakomaa walipwe kodi ya mwez mmoja kutoka kwa mpangaji,huo ni wizi wa mchana kweupe!wangekua wanataka hata laki 2 at least!sasa uwape laki 6 zote aisee!
Sorry mkuu nilikua nje ya jf kwa muda... Ipo maeneo gani?
 
Back
Top Bottom