Picha: Bashe na Kubenea Wakizozana Na Nape

Picha: Bashe na Kubenea Wakizozana Na Nape

hata Korea kaskazn ilianza hv hv twende tu tutajikuta tupo ndani ya chupa dunia tumeiacha nje
 
Ahaa Nape a.k.a Don Bother !!yani yeye ndo mwenye mbwa alaf hao kama mbwa wake wanapiga kelele kesho akiamua anawafungia tuu
 
Ni rahisi sana kujua serikali ya JPM itakua ya hovyo sana kutokana kuwa na mawaziri kama NAPE....
JPM did it wrong.
wewe ndo utakuwa wa ovyo sana, wengine wanadamka asubuhi kwenda kutafuta riziki ww upo unasubiria kuangalia Bunge, kati yako na wanaojishugulisha mida hiyo ya Bunge nani atakuwa wa ovyo kama si ww na watu wa jamii kama yako, hata hao unaotaka kuwaona sura zao wakati wanaingia ww uwatizame kwenye runinga wanakuwa tayari wameweka posho zao mifuko, wakati ww unaumiza macho kwenye Tv za kichina.
 
atapata sifa kwa wajinga wenzake tu,lakini kama anadhani miaka 5 mingi anajidanganya
Kwani nape anahangaika na matatizo ya watanzania au ccm.hili ndilo tatizo LA ccm wengi wanaona chama ni bora kuliko nchi.wapo Tayari kufanya jambo baya kwa maslahi ya chama
 
Hivi ukawa nyinyi shida ipo wapi wakati TBC mnasema ya CCM na hamtazami si mtazame za UKAWA kama wanarusha kwani lazima TBC?
 
Kwani nape anahangaika na matatizo ya watanzania au ccm.hili ndilo tatizo LA ccm wengi wanaona chama ni bora kuliko nchi.wapo Tayari kufanya jambo baya kwa maslahi ya chama
PIGA KAZI WEWE YANI WE UNATAKA UWE UNASHINDA KWENYE LUNINGA TU, UTAWACHEKI USIKU KAMA UNAWAPENDA SANA
 
Kwa hiyo wewe unafurahia kutokufahamu kinachoendelea bungeni?
Achana nae huyo hana tofauti na jibwa la kufuga, likiambiwa bweka haliulizi kwa mini mradi litupiwe mnofu hata kama umeoza
 
Ubunge wenyewe kaazimwa na Membe na wanaanza kumkorofisha sijui kama atarudi tena hiyo 20
 
Hao wabunge wa upinzani nao wako pale kushindana na serikali na ndiyo maana wanataka matangazo ya live ili waonekane,na kibaya kuna watu wanapenda kuona wabunge wao wakifanya fujo mule hata kama kwenye majimbo hakuna wanachofanya.

Wewe uliielewaje siasa za upinzani bungeni ??????????!! Ni kusifiana na kuipigia serikali magoti kwa chochote? ?????????!! AFRICA BADO SANA
 
Hivi ukawa nyinyi shida ipo wapi wakati TBC mnasema ya CCM na hamtazami si mtazame za UKAWA kama wanarusha kwani lazima TBC?


Hizo zingine ati mpaka zipewe kibali na TBC yani kama huelewi nikuwa mwenye milki na uhalali wa matangazo hayo ni TBC
 
Kaenda bungeni akiiwakilisha serikali ya JMT ila ukawa mnajipendekeza kwake. Ataendelea kuwanyorosha

Hivi wewe ni raia wa Kongo ama Burundi, eti? Mbona unashabikia ujinga ujinga tu?
 
Back
Top Bottom