Namshangaa sana mtoa mada. Wewe unapoona sakafu ya marumaru unataka iwe unayopenda kuiona tu? Hata unayoiita uchafu ni marumafu inayowekwa kwa staili hiyo. Nakushauri ufanye upekuzi wako vyema na kisha uelezeeunayoyaona na siyo unachotaka kukiona.
Pamoja na yote utaona ukarabati mkubwa...
Edwin hebu fanya utafiti kidooogo kisha urudi ujitathmini. Toka lini Mfinanga akawa member wa BICO? Hivi kweli mwenyekiti wa kamati ya nidhamu ni dvc admin na siyo mama mtanda? Timiza wajibu wako, epuka mambo ya ajabu kazini, fuata sheria, miongozo, taratibu na maadili ya kazi
Alafu ukakaa kimya? If yes basi nawe ni corrupt wa hatari. Ungepaswa kushitaki na mhusika anganyang'anywa degree. Niliwahi kuhudhuria mahafali ya UDSM pale mlimani city nikasikia mtu amefutiwa degree
Boom linalipwa per day na iko hivyo miaka yote. Kama mhula kwa udsm una siku 120 watalikwa kwa siku 120 na vivyohivyo vyuo vingine same to prectical training
N
Ndugu yangu Bob Maliki, pole sana kwa unachodhani ni usumbufu katika kupata cheti na transcript yako. Kiuhalisia cheti ni kitu cha thamani sana na ni vya muhimu sana kwako, hata hivyo ni vyema kufuata utaratibu. Ndiyo maana lazima ujaze fomu maalumu, ihakikishwe kuwa haudaiwi ada na umehitimu...
Wewe ndugu yangu weweeeee acha porojo, wewe tuambie kuna mtu amepelekwa pasiposahili? Rishafo mbona jambo la kawaida kabisa katika kampuni yoyote? Unajua nia na madhumuni ya rishafo? Uliajiriwa na UDOM kufanya kazi kitengo fulani pekee au popote UDOM? Unataka kuniambia mafaili yapo kwaajili ipi...
Kwanza magufuli hajafanya makongamano UDSM bali alihudhuria kongamano moja tu kati ya waliyowahi kumualika. Hivyo point hapa ni kumualika, nashauri SAUT au vyuo vingine navyo vimualike, maana hawezi kujialika bandugu
Haichukui muda hivyo siku hizi. Kimsingi vyeti huwa tayari kabla ya graduation isipokua hutolewa soon after graduation. Nakushauri uanze kuomba transcript kisha cheti
Ndugu yangu hata Magufuli anasemwa kama unavyomsema Minja, lakini nimefanya uchunguzi wa kina tatizo ni watu watatu tu pale ucc mmoja hana cheti cha kidato cha nne, mwingine ni dereva anayelalamika Minja anajiendesha kwa gari binafsi badala ya gari ya ofisi, kwa taarifa zisizotia shaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.