Vyeti UDSM hutoka baada ya muda gani baada ya mahafali?

Vyeti UDSM hutoka baada ya muda gani baada ya mahafali?

The real Daniel

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2017
Posts
2,144
Reaction score
8,027
Habar wana jf
Nauliza kwa waliosoma udsm kuwa baada ya graduation, huwa inachukua mda gani kwa vyeti kuanza kutolewa. Asante
 
Haichukui muda hivyo siku hizi. Kimsingi vyeti huwa tayari kabla ya graduation isipokua hutolewa soon after graduation. Nakushauri uanze kuomba transcript kisha cheti
 
Vyeti baada ya graduation ukishaclear clearance unakipata... Mfano mie nilifanya graduation November. 2015 January 2016 nikabeba mzigo wangu... Transcript na cheti vinatolewa hapo hapo ukitaka
 
Vyeti baada ya graduation ukishaclear clearance unakipata... Mfano mie nilifanya graduation November. 2015 January 2016 nikabeba mzigo wangu... Transcript na cheti vinatolewa hapo hapo ukitaka
Asante sana. Hakuna machungu kama kukosa kazi kisa huna cheti tu.
 
Nina miaka 8 sijawahi kurudi chuo kwenda kuchukua cheti. Naishi mjini kiujanja ujanja.
By the way, jana kuna chuo kimewaangukia wanafunzi wake wakachukue vyeti.
 
Back
Top Bottom