Bikirajohola
JF-Expert Member
- Jun 11, 2022
- 356
- 634
Kumbe Magufuli aliwajengea hostel UDSM?I am sorry but Saut ni chaguo la waliokosa nafasi za kozi wanazozitaka UDSM. Kuchakaa kwa Majengo ni sahihi maana chuo ni cha zamani, mtoa mada angetuambia hali ipoje UDBS, Aquatics na Library mpya, viongozi wangependa wangechagua ofisi zao kwenye hayo majengo mapya, lakini kwa utimamu wao haijawa hivyo. Since chuo kipo chini ya serikali ni muda sasa kikarabatiwe pamoja na zile hostel za main campus ukitoa zile mpya za magufuli zilizokuja kujengwa nyingine zote zimechoka.