Recent content by mabuladaud

  1. mabuladaud

    JamiiForums Tanzania Kutokwa jasho usiku

    Mkuu ulipata ufumbuzi ? maana na mimi ilinitokea kipini nilipoendaga secondary songea toka mwanza, Baada ya miezi sita nilianza kujisikia baridi ambalo sio la kawaida na nikilala usingizi vivyo hivyo nilishtuka na kuamka nimelowanisha shuka hata nikilala mchana usingizi ukipita tuu nikija...
  2. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba mnisaidie, modem yangu nikiiunganisha na mobile hotspot inazima

    MODEM na connect kwenye laptop windows 10 af hii modem ina build in wifi inaconnect ila no internet access shida ni kwamba nataka nitumie ile windows 10 build in mobile hotspot lakini nikiweka tu modem hiyo hotspot inakuwa inactve.
  3. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba mnisaidie, modem yangu nikiiunganisha na mobile hotspot inazima

    HAbari zenu wakuu? Naomba mnisaidie, modem yangu nikiconnect inazima mobile hotspot. Je, niwezeje kushare internet kwenye computer nyingine. Pia sms zikiingia zingine hazisomeki, yaani zinakuja alama za maneno tu. Nmejaribu ku unistall tatzo bado lipo.
  4. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtego wa Jana Sumu

    24
  5. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtego wa Jana Sumu

    Kwa hali ya Maisha iliyopo saivi Ni bora nisioe au nioe basi tuu maana kuzini kumekuwa kama jambo la kawaida. Nipo hapa geto naishi na jirani yangu ambaye ni mfanya kazi mwajiliwa wa sarikali, pia ameoa, NA mimi ni mwanafunzi bado. Sasa kinacho nipa shida kila siku ni kuwaza kuhusu hawa...
  6. mabuladaud

    JamiiForums Tanzania Je, Marekani atavamia Iran?

    hiyo kali
  7. mabuladaud

    JamiiForums Tanzania Mwenye Vifaa Hivi Tuwasiliane

  8. mabuladaud

    JamiiForums Tanzania Mwenye Vifaa Hivi Tuwasiliane

    Natafutasimu aina ya nokia 3310 3g,4g, nokia 8110 4g iliyotumika au hata kama ni mpya nna shida nayo sana, na kuhusu mahali ulipo haina shida ili mradi upo Tanzania nitakupata tuu. Na kma maduka ya simu ipo mahali unaweza ukanisaidia kunipa mawasiliano maana nmeangalia maduka ya Mbeya na Mwanza...
  9. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufanikiwa mara ya kwanza taabu saana

    Unamaanisha uligegedwa ndo ukafanikiwa set
  10. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufanikiwa mara ya kwanza taabu saana

    july 3 2018 ndo umezeeka saiv
  11. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufanikiwa mara ya kwanza taabu saana

    kwan na fail wap tuelekezane mkubwa Ndo yule boss
  12. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufanikiwa mara ya kwanza taabu saana

    Nimeamini kweli suala la kusex kwa mala ya kwanza si jambo dogo maana nimejionea mwenyewe. Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka 19 ivi katika kupambana kwangu sijawahi kufanikiwa adi sasa, Ngoja nikwambie ukweli; Niliwahi kwa mala ya kwanza kungea ne mtoto wa kike akanielewa akaw a...
  13. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada

    Wakubwa poleni na majukumu, mimi nipo apa guest kwa mala ya kwanza ndo nipo na demu iv ila sasa kasema nivae modo sasa ndo nipo najiuliza je nikifika dukani niulze nn maana naogopa kusema nahitaji condom jamani nisaidieni nisije aibika mwenzenu, wenzangu cjui huwa mnasemaje mkifika madukani.
  14. mabuladaud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume walio rijali pokeeni hii nywila

    lkn na nyie muachage usumbufu unapokutana na boom kwa mala ya kwanza etmala oooohh me ckuja kwa ajili ya hayo , nnaumwa, cjickii vzr mpaka tunaanza kutumia force duj
  15. mabuladaud

    JamiiForums Tanzania Kama ulizaliwa baada ya 1995 mambo haya yalikupita

    Kama nilichelewa kdgo lkn nakumbuka nilivikuta vingving apo
Back
Top Bottom