Msaada

Msaada

mabuladaud

Member
Joined
Jun 19, 2019
Posts
15
Reaction score
7
Wakubwa poleni na majukumu,
mimi nipo apa guest kwa mala ya kwanza ndo nipo na demu iv ila sasa kasema nivae modo
sasa ndo nipo najiuliza je nikifika dukani niulze nn maana naogopa kusema nahitaji condom
jamani nisaidieni nisije aibika mwenzenu, wenzangu cjui huwa mnasemaje mkifika madukani.
 
Mwambie unahitaji condom

Au unafikiri muuzaji huwa hatumii?
 
niwe muwazi hata mimi nikimkuta muuzaji mdada mrembo kama wewe kuropoka huwa siwezi... Huwa nasema naomba ile dawa yetu ya kitandani.
Ila akiwa wa kiume sinaga shaka.
Unakuwa unamuonea aibu?au hutaki ajue huwa unafanya?
 
Vyote.
Kuna ile tayari mtu anajua unaenda kufanya nini dkk chache zijazo


Au ww unaweza kusema nahitaji condom? Hasa kwa jinsia tofauti?
Unakuwa unamuonea aibu?au hutaki ajue huwa unafanya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom