Recent content by mabaraza john

  1. M

    Joseph Mbilinyi (Sugu) amtaka Rais Magufuli asafiri Nje ya Nchi ajifunze kwa wenzake

    ata nusu mwaka ajafika ndo aanze safari,chadema acheni kujitoa akili.muda ukifika atasafiri.
  2. M

    Joseph Mbilinyi (Sugu) amtaka Rais Magufuli asafiri Nje ya Nchi ajifunze kwa wenzake

    ndo kwanza ata nusu mwaka ajafikisha ndo aanze kusafiri.tueni na akiri acheni ushabiki bwana
  3. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    aliye pangiwa ilala anijuze utaratibu jamani
  4. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    kuna aliepangiwa ilala kaisharipoti?
  5. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    naomba kujua ka vibari vimeisha anza kutolewa kwa walimu waliohama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.mwenye taarifa naomba anijulishe tafadhali
  6. M

    Barua za Kibali cha Uhamisho toka Tamisemi

    naomba kujua ka vibari vimeisha anza kutolewa kwa walimu waliohama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.mwenye taarifa naomba anijulishe tafadhali
  7. M

    'WALIMU' Karibuni tukumbushane mada za utaalamu na kitaaluma

    naomba kujua ka vibari vimeisha anza kutolewa kwa walimu waliohama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.mwenye taarifa naomba anijulishe tafadhali.
  8. M

    Uhamisho wa watumishi wa Serikali

    hata mdogo wangu ni mhanga wa hiyo mambo, hivo kunamtu kanambia sometimes uwa inaeenda mpa mwezi wa pili nawasii kuwa wapole tu tamisemi watafanya yao.
  9. M

    TCU na Kozi za Udakitari

    ameomba ushauri nadhani tungemshauri kuliko kumwambia ana akili ndogo haiwezi MD.USIJIDANGANYE eti umepata distinction naye kapata merits ukadhan hana akili uwezi jua wakati anafanya mtihani alipatwa na nini
  10. M

    Lowassa kustaafu siasa

    huyo mzee anahangaika tu.na urais hapati
  11. M

    Iringa kimenuka

    kwanini watu tunaanzisha mijadala isiyokuwa ya kweli?
  12. M

    Kufunga kampeni: UKAWA-Jangwani, CCM- Mwanza CCM Kirumba

    haa wapi kama kawa tutajitokeza kwa wingi kusikiliza polojo za ukawa na ccm.chama ni ACT tu
Back
Top Bottom