hata mdogo wangu ni mhanga wa hiyo mambo,
hivo kunamtu kanambia sometimes uwa inaeenda mpa mwezi wa pili nawasii kuwa wapole tu tamisemi watafanya yao.
ameomba ushauri nadhani tungemshauri kuliko kumwambia ana akili ndogo haiwezi MD.USIJIDANGANYE eti umepata distinction naye kapata merits ukadhan hana akili uwezi jua wakati anafanya mtihani alipatwa na nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.