Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,267
- 5,854
Huyo jamaa asaliv ni mtu wa ajabu sana, ukifatilia post zake za awali alikuja hajui maana kaanzisha uzi anataka kujua lini, badae akaja na majibu humu akiwaaminisha watu anajua siku ya kutoka majina , mbele kidogo akageuka na yeye akawa muulizaji, mbele kidogo akaanza ku remark saizi mwisho hapa kaja sasa na utabiri tayari anajua tena, nimemsoma nime shamfahamu ni mtu wa namna gani...so usiwe na shaka nae ila nna wasiwasi na uwezo wake kama mwl labda kama si mwalimu ni mtendaji kataAcheni kupotosha wenzenu kama hujui kaa kimya.