Iringa kimenuka

Iringa kimenuka

Hivi ni lini CCM itaacha kuwanyanyasa Watanzania Masikini? Yaani mtu akiwa mpinzani tu wa CCM ndio apigwe hivyo na kushitakiwa? SASA KWELI TUTAMCHAGUA LOWASSA AWE RAIS WETU. Ngoja october 25 ifike.
 
Abiria 100 basi moja? Kila siku nawaambia vichaa chadema wameundiwa baraza lao linaitwa Bavicha( Baraza la vichaa Chadema) na mleta uzi naye ni katka kundi hilo,angalau angesema "basi linashikiliwa na polisi baada ya abiria kuonyesha alama ya chadema" hawa jamaa zetu akili zao ziko makalioni hawana muda wa kufikiri na ndio maana Mbowe anawabebesha gunia la mavi nao wanabeba tu
 
Abiria 100 basi moja? Kila siku nawaambia vichaa chadema wameundiwa baraza lao linaitwa Bavicha( Baraza la vichaa Chadema) na mleta uzi naye ni katka kundi hilo,angalau angesema "basi linashikiliwa na polisi baada ya abiria kuonyesha alama ya chadema" hawa jamaa zetu akili zao ziko makalioni hawana muda wa kufikiri na ndio maana Mbowe anawabebesha gunia la mavi nao wanabeba tu


Usikurupuke kujibu kama haujaelewa mada

Mtoa mada kaandika ,zaidi ya raia 100 pia na bus la nganga wanashikiliwa na polisi
 
Unajichanganya mkuu. Yaani hata unatia huruma. Hiyo picha uliyoweka haioneshi kushikiliwa kwa raia. Umesema aliyeshikiliwa ni dereva na sasa unasema abiria 100. By the way nikuulize swali. Unafahamu basi kubwa linabeba abiria wangapi? Hao abiria 100 walikaa vipi kwenye basi moja? Uwe unatumia akili mkuu. Uongo mwingine ni kujidhalilisha
HAhahahaaaa, kweli ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu asante sana mkuu hapo kwenye Red!Bavicha wameishiwa hoja sasa hivi ni mwendo wa uchochezi tu ndicho ninachoona!
 
Chuki yenu dhidi ya polisi haisaidii. Mleta mada hajasema huyo dereva ana kosa gani? Kama alikuwa anaendesha mwendo mkali kwa nini asiahikiliwe? Akisababisha vifo nani atalaumiwa?

Umeambiwa kosa ni kwa abiria kuonyesha alama ya Chadema.
 
HAhahahaaaa, kweli ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu asante sana mkuu hapo kwenye Red!Bavicha wameishiwa hoja sasa hivi ni mwendo wa uchochezi tu ndicho ninachoona!

Nadhani badala ya ukiwa unashabikia upande mmoja kwenye mambo ya UTAIFA kuwa neutral itasaidia watanzania wote kupata HAKI zetu za msingi.

Issue jana basi la Nganga Limekamatwa na sababu waliokuwa ndani ya basi wamezielezea,jioni vijana 100 wa CDM wakiwa kwenye mikutano yao ya ndani walipigwa na kukamatwa kupelekwa polisi.Ni issue tu ya kuuliza ili upate full information.

Ni kweli na wala si uwongo kwamba Polisi wetu wanatumia nafasi zao vibaya,watu hawa wamepewa mafunzo kwa pesa nyingi za mlipa kodi ili waweze kuepuka haya wanayoyafanya.Polisi wanatakiwa kufanya kazi kiitaluma na si kwa kutumiwa na chama chochote cha siasa.

Wiki lilokwisha polisi wanatuhumiwa kuua mtu kwa kipigo,hivi hizi damu za watanzania hazina thamani kwa kiasi hicho??

Waheshimu RAIA ili na wao waheshimiwe,Bila raia polisi hawawezi kufanya kazi zao kwa usalama.

Mwangosi yalikuwa haya haya.Tanzania yetu sote,tusibaguane kwa misingi ya ITIKADI,baada ya UCHAGUZI kuna maisha,lakini naona baada ya UCHAGUZI kuna watu wanatulisha sumu ya kuchukiana,jamani Tanzania yetu sote,na Mungu hakutuweka huku kwa bahati mbaya,tuvumiliane,tutofautiane kwa hoja,na pale taasisi yoyote inapovuka mipaka yake tuikemee pamoja.Umoja wetu ndiyo nguvu yetu.
 
Hiyo story uhalisia wake nimesimuliwa na mtu aliyekuwepo eneo la tukio. Ilikuwa hivi, wakati Magufuli anasubiriwa, askari walifunga njia, hivyo mabasi na magari yote kwa ujumla yakazuiwa ili kupisha msafara, likiwepo basi la Nganga. Wakati wanasubiria msafara uje, abiria wakashuka chini. Baadaye likapita gari la CCM ndipo hao abiria wakanyoosha alama ya vidole viwili (CHADEMA), askari alipoona vile akawaamrisha warudi kwenye gari. Ndipo alipopita mtu mwingine akatamka peoplez, wale abiria wakajibu Powerrr. Ndipo askari akawamind, akapiga simu ili gari la polisi lije ndipo basi la Nganga lilipoamrishwa kwenda kituoni.
 
Zaidi ya raia 100 wanashikiwiliwa na polisi, pia basi la nganga lipo chini ya ulizi baada ya abiria kuonyesha ishara ya vidole viwili, picha na more updates zitafuata muda huu. asante
Acha tu wapigwe
 
Mtoa mada anaonyesha hajui kilichotokea Iringa inawezekana amesimuliwa ila ameamua kupotosha ukweli kwasababu ni mwanachama wa CDM. Ilikua hivi baada ya mkutano wa Magufuli kumalizika pale uwanja wa samora Iringa wanachama wa CCM walikua wakielekea majumbani mwao na vijana wa CDM walikua wamemaliza kikao chao cha ndani walichokua wanakiendesha pale Sambala. Wakati magari ya kampeni yanapita baadhi ya vijana wanachadema walisogea barabarani nakuanza kuzomea polisi kwa ustaarabu walijaribu kuwatoa wale vijana, wanachama walianza kuwarushia mawepolisi. Baada kuona hovyo mkuu wa kikosi cha vijana wa kazi FFU ilibidi aamuru vijana wake wawaondoe vijana wa chadema. Walio wekwa ndani ni vijana 61 kati 100 waliokuepo.
 
Mtoa mada anaonyesha hajui kilichotokea Iringa inawezekana amesimuliwa ila ameamua kupotosha ukweli kwasababu ni mwanachama wa CDM. Ilikua hivi baada ya mkutano wa Magufuli kumalizika pale uwanja wa samora Iringa wanachama wa CCM walikua wakielekea majumbani mwao na vijana wa CDM walikua wamemaliza kikao chao cha ndani walichokua wanakiendesha pale Sambala. Wakati magari ya kampeni yanapita baadhi ya vijana wanachadema walisogea barabarani nakuanza kuzomea polisi kwa ustaarabu walijaribu kuwatoa wale vijana, wanachama walianza kuwarushia mawepolisi. Baada kuona hovyo mkuu wa kikosi cha vijana wa kazi FFU ilibidi aamuru vijana wake wawaondoe vijana wa chadema. Walio wekwa ndani ni vijana 61 kati 100 waliokuepo.

Waache wakazomeane humo lupango
 
Back
Top Bottom