'WALIMU' Karibuni tukumbushane mada za utaalamu na kitaaluma

Ahsante mleta mada kwa walimu wa kiswahili mie naomba kuelekezwa historia ya kiswahili kilianzia wapi mpaka kikasambaa.
 
naomba kujua ka vibari vimeisha anza kutolewa kwa walimu waliohama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.mwenye taarifa naomba anijulishe tafadhali.
 
naomba kujua ka vibari vimeisha anza kutolewa kwa walimu waliohama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.mwenye taarifa naomba anijulishe tafadhali.

wewe ndo umefanya less competence/insane mmoja akacoment 'walimu wote ni mbilila eeehh' huwezi kuchanganya habari za uhamisho humu wakati kuna uzi maalumu na pia umeanzisha? ustaarabu....
 
haya aliye kufundisha irabu na konsonanti ukapata jeuri ya keyboard umemsahau??

wewe kama uzi haukufai ungepita tu kuandika chochote kwa mada ya mambulula nikudhihirisha you are insane
Njoo musoma dc mimi nije kilimanjaro wilaya yoyote arusha wilaya yoyote au tanga wilaya yoyote idara sec 0659873670
 
Back
Top Bottom