Mbona unakimbia mada mkuu, mada iliyopo hapa ni ile ahadi ya Computer na mabasi kwa ajili ya shule za sekondari aliyotoa Sugu!
Majibu uliyotoa yanaonyesha jinsi upeo wako wa kufikiri ulivyo!
Mbona haukuhoji pale Dj Mbowe alipokacha ile ziara ya wabunge kule Marekakani na kuondoka na JOYCE MUKYA mbunge viti maalum(CDM) Kwenda Dubai kubanjuana KWA kODI YETU WANANCHi
Ukianza unafiki ungali kijana uzeeni utakuwa Mchawi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.