Jk Ana kazi ya ziada, wateule wake wanamdhalilisha live.....Mwigulu mwenyewe anahitaji kufundishwa adabu, maana hana nidhamu kabisa.
Always mawazo ya maintarahamwe huwa ni kulipiza kisasi kama walivyo ndugu zenu al shabaab na boko haram.Hata jk kawafundisha adabu wengi sana akija mwigulu watahama nchi kabisa.
Alichosema mwingulu do ukwel,LISSU,WENJE,SUGU,MSIGWA NA MDEE,utake usitake hawarudi bugeni 2015,anaebisha abishe lkn 2015 ujaja mfukon
Anatema povu,porojo,anananga,Anasema wapinzani wana pepo,anasubiri 2015 atawatia adabu wapinzani!anasema anatamani aongoze nchi hii awafundishe watu adabu!Huyu mzima kweli,kuna bajeti ya kunanga upinzani au ya nishati
Hawa watu Singida wana tatizo la kulewa sifa kama Geor davi Nape na Mwigulu.Anajiona amefika!!huyu ana majini na mapepo kwenye kila kiungo chake.Ndo sababu hawa niliowataja hawana adabu kabisa.Akichangia sasa hivi mgwillu nchemba amesema anatamani kuwa rais wa nchi hii ili awafundishe watu ADABU....!
My take:
baba rizi ameidhalilisha sana taasisi ya urais sitashangaa kesho hata kalapina au dudu baya wakitangaza nia
Anatema povu,porojo,anananga,Anasema wapinzani wana pepo,anasubiri 2015 atawatia adabu wapinzani!anasema anatamani aongoze nchi hii awafundishe watu adabu!Huyu mzima kweli,kuna bajeti ya kunanga upinzani au ya nishati
Alichosema mwingulu do ukwel,LISSU,WENJE,SUGU,MSIGWA NA MDEE,utake usitake hawarudi bugeni 2015,anaebisha abishe lkn 2015 ujaja mfukon
Mwigulu ni mwiba kwa wanasiasa uchwara kama wa ukawa na wenzake.
Anatema povu,porojo,anananga,Anasema wapinzani wana pepo,anasubiri 2015 atawatia adabu wapinzani!anasema anatamani aongoze nchi hii awafundishe watu adabu!Huyu mzima kweli,kuna bajeti ya kunanga upinzani au ya nishati
Fedha hazikukwapuliwa bali zilitolewa kwa Idhini ya Mahakama, na kwa makubaliano maalumu, hakuna HARUFU ya ufisadi
Ni yale yale ya "Over my dead body"! JK ameufanya Urais uwe rahisi mno, kiasi kwamba hata Mwigulu sasa anaona anafaa kuwa Rais! SHAME!!!!