CHADEMA Yasambaratisha CCM Iramba Mashariki

CHADEMA Yasambaratisha CCM Iramba Mashariki

Huna jipya,alivyokufa Jambazi Mabina shughuri za ccm zilisimama? Daima ukombozi mbele,jeshi la ukombozi lipo vitani amekufa kamanda mmoja wengine wanasonga mbele
Kwa hiyo role model wenu Chadema ni CCM.
 
Umati mkubwa wa wananchi uliofurika katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA Kata ya Nkungi Jimbo la Iramba Mashariki leo umesababisha shughuli zote kusimama kwa zaidi ya saa tatu.

Mkutano huo ulihutubiwa na viongozi kadhaa wa kitaifa na mkoa wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera na Utafiti Mwita Mwikabe Waitara na Kamanda maarufu wa Chadema katika Jimbo hilo George Gunda.

Akizungumza katika mkutano huo Kamanda George alishambulia CCM kwa umaskini wa wananchi na sera mbovu za huduma ya Afya.

Kamanda George pia alilaani CCM kutukana matusi viongozi wa Chadema wakati walipohutubia jimboni humo.

Kamanda George ambaye ni mwiba kwa CCM na amekuwa akiwatia sana ujasiri vijana wa jimbo hilo aliwataka wananchi wajiandae kuing'oa CCM katika chaguzi zote zijazo wakianzia na Serikali za Mitaa.

Naye Mwita Waitara aliyekuwa mgeni Rasmi ameendelea kuzungumzia umuhimu wa wananchi kujitambua na kuikataa CCM huku akifurahishwa na umati mkubwa wa watu waliojitokeza.

Waitara pia alizungumzia umuhimu wa wananchi kuunganisha nguvu katika suala la Katiba mpya na kuunga mkono Rasimu ya Tume ya Warioba ambapo umati mkubwa ulipiga kelele kwamba unataka Serikali Tatu.

Baadaye mamia ya wananchi wamechukua kadi mpya za Chadema huku wengine wengi wakirudisha kadi za CCM.

Kati ya waliorudisha kadi ni vijana zaidi ya 20 waliopewa kadi za CCM wiki mbili tu zilizopita na Katibu Mkuu wa CCM alipotembelea Kata hiyo.

Nina wasiwasi na hao waliorudisha kadi, kesho akirudi Kinana watageuka. These are behaving like an unruly horse , you will never know where it will take you!
 
Leo molemo ana raha ya ajabu moyoni mwake, pamoja dr slaa na mbowe. Ndio mana wanashusha threds nyingi nyingi kukisifia chama

You are Ignorant! Narrow Minded!
 
Chadema wamefiwa na kiongozi wao lakini bado wanaendelea kufanya mikutano au hana umuhimu wowote.
Mbona Balal alipokufa serikali ya CCM iliendelea na shughuli, hata picha hatukuziona
 
Walikufa watoto zaidi ya ishirini Shauri Tanga Rais akaenda kuhudhuria kuapishwa kwa Mandela! Maisha lazima yaendelee!

too low to discuss...kwa hiyo akifa kiongozi ndio shughuli zisimame-kwamba atafufuka...go to hell
 
Hongereni chadema kwa kufanikiwa kazi ya kumuua mama yake zitto.
Mwogope Mungu, kufitinisha hadhira ni shughuri ya shaitwani.Hata kama unapata B7kwa kuandika upuuzi huu hii siyo sawa ninamtaka nape akunyime B7andiko hili halina maslahi hata kwa ccm.
 
Hivi angekufa mama yake ni kiongozi yoyote wq Chadema kutoka kaskazini mikutano ya chama ingeendelea.


Mbona ccm ilipouwa Daudi mwangosi hatukusikia chochote?

Je kumpandisha cheo kamuhanda kwa mauwaji ya Daud mwangosi, inamaana ccm mnafurahia watu kufa?

Nakwanini ccm mnashupalia sana msiba wa mamazito? mmemuwa ilimfanye siasa? mbona mnatioa aibu nyinyi...
 
Umati mkubwa wa wananchi uliofurika katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA Kata ya Nkungi Jimbo la Iramba Mashariki leo umesababisha shughuli zote kusimama kwa zaidi ya saa tatu.

Mkutano huo ulihutubiwa na viongozi kadhaa wa kitaifa na mkoa wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera na Utafiti Mwita Mwikabe Waitara na Kamanda maarufu wa Chadema katika Jimbo hilo George Gunda.

Akizungumza katika mkutano huo Kamanda George alishambulia CCM kwa umaskini wa wananchi na sera mbovu za huduma ya Afya.

Kamanda George pia alilaani CCM kutukana matusi viongozi wa Chadema wakati walipohutubia jimboni humo.

Kamanda George ambaye ni mwiba kwa CCM na amekuwa akiwatia sana ujasiri vijana wa jimbo hilo aliwataka wananchi wajiandae kuing'oa CCM katika chaguzi zote zijazo wakianzia na Serikali za Mitaa.

Naye Mwita Waitara aliyekuwa mgeni Rasmi ameendelea kuzungumzia umuhimu wa wananchi kujitambua na kuikataa CCM huku akifurahishwa na umati mkubwa wa watu waliojitokeza.

Waitara pia alizungumzia umuhimu wa wananchi kuunganisha nguvu katika suala la Katiba mpya na kuunga mkono Rasimu ya Tume ya Warioba ambapo umati mkubwa ulipiga kelele kwamba unataka Serikali Tatu.

Baadaye mamia ya wananchi wamechukua kadi mpya za Chadema huku wengine wengi wakirudisha kadi za CCM.

Kati ya waliorudisha kadi ni vijana zaidi ya 20 waliopewa kadi za CCM wiki mbili tu zilizopita na Katibu Mkuu wa CCM alipotembelea Kata hiyo.

Manjonjo meeengi!, Huna lolote!

Weka picha tuonee,
 
Kumbe magamba yalikuwa yanamchiria msma Shida afikwe na mauti... Chadema walikuwa wanamuombea apone na waliamini atapona na ndio maana waliendelea kuandaa mikutano
 
Mkuu Molemo,

CCM haikuwahi kuwepo Singida Mashariki. Hao watu uliowaona majuzi kwenye mkutano wa Jangili Kinana na Mzee wa Mekako na Diprosoni walimwagwa kwa mabasi ya Mtei kutoka kila kona ya Singida, Dodoma, Manyara...

Siku hiyo nilikuwa natoka Singida kuelekea Dar nimepanda basi la ABC. Acha kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom