Habari nataka kununua kwa bei ya jumla tambi za dengu,Karanga za Mayai,ubuyu mzuri(vinto),krips aina zote (viazi,mihogo,ndizi)wapi naweza kupata tafadhari
Mwe kumbe sio walemavu wa viungo na wadada wenye watoto tu ndio wanaobagulia kumbe hata wadada wenye ndevu pia hua wanabagulia mmh Yesuuu rudi baba tunaangamia
Duh mwenzetu ushakua maarafu jf kwa kutaja jina la MSHANA JR tu,kesho na Mimi naanzisha uzi wangu kwa kutumia jina hilohilo maana hakuna namna[emoji4] [emoji4] msiniangushe kwa comments zenu wadau
Pole sana mkuu,ila unamuamini vipi mtu usie mjua?angemleta ndio umpe hela halafu ni vyema ungeenda kumfata huko bagamoyo ili kufahamu mschana anatokea wapi na wazazi au jamaa zake ungewajua hata tatizo lolote likijitokeza unajua pakuanzia,kama muda ni tatizo ungetafuta mtu aende amfate.cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.