Nauza Huawei Y300 kwa bei ya kutupa

Nauza Huawei Y300 kwa bei ya kutupa

Aleyn

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
23,916
Reaction score
42,267
Habari wakuu, ninauza huawei tajwa hapo juu.
-Imetumika kwa miezi 10
-Ipo ktk hali nzuri kabisa
-Ni simu Original
-Nakupa na Chaji yake niliyonunulia
-Ni simu yangu Binafsi wala si ya mtu wala si ya wizi


Uwezo wa simu
-Ina 3G
-Inatumia mitandao yote
-Kioo chake ni Nchi 4.0
-Mambo mengine unaweza ukasearch Google, ukishindwa niulize hapa hapa.

Bei ni 120,000.
Karibuni sana!!!
 
Mi sio mununz bt hyo bei sio ya kutupa bali ya dukan tena mpya...ngoja nkupe benchmark ya kupanga bei...huawei y530 mpya ni 160k n unapata offer nyng hadi vocha kila mwez na ikifka mkonon ukiuza kwa bei sana ni 120k or 110k!!!!!!!!!!!!!!!!?
 
Habari wakuu, ninauza huawei tajwa hapo juu.
-Imetumika kwa miezi 10
-Ipo ktk hali nzuri kabisa
-Ni simu Original
-Nakupa na Chaji yake niliyonunulia
-Ni simu yangu Binafsi wala si ya mtu wala si ya wizi


Uwezo wa simu
-Ina 3G
-Inatumia mitandao yote
-Kioo chake ni Nchi 4.0
-Mambo mengine unaweza ukasearch Google, ukishindwa niulize hapa hapa.

Bei ni 120,000.
Karibuni sana!!!
weka namba ya cm tufanye biashara.
 
Back
Top Bottom