Recent content by M12

  1. M12

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kisarawe-Pwani, Nauli elfu Mbili tu mpaka DAR, Nije Songea Manispaa-Ruvuma, idara Elimu Msingi, 0716919553
  2. M12

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na Mimi hivyo hivyo Leo siku ya tatu, kwenye stutus Kuna deshi tu nashindwa kuwaelewa Kuna njia ya kuwasiliana nao ukiacha na zile za kwenye app yaani namba za simu ukaongea nao
  3. M12

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ina maana gan hii option ya any team to score 3 or more goals in row
  4. M12

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Songea Manispaa nije Morogoro wilaya yeyote IDARA SEKONDARI
  5. M12

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO SONGEA MANISPAA NIJE MOROGORO MANISPAA IDARA SEKONDARI.
  6. M12

    Mwili kuhisi kuwaka moto inaweza ikawa dalili ya ugonjwa Gani?

    Habari Wana jukwaa! Kuna Binti anapitia changamoto ya mwili wote kuhisi maumivu ya kuwaka moto muda wote, miguu kuuma, mikono kushika ganzi na mabega kuumia lakini pia na meno yanamuuma ivyo vyote anavihisi Kwa pamoja, inaweza ikawa dalili ya ugonjwa Gani?
  7. M12

    Movie Bora za Kihindi kwa muda wote

    Dhadkan bonge la movie
  8. M12

    Kwanini Mei Mosi ya Mwaka huu 2023 Haina Shamrashamra?

    Isiwepo tu Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
  9. M12

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Natafuta chimbo la jeans za kiume na bei zake zikoje, ambazo wengi huziuza kwa bei ya elfu25 kwa kila moja.
  10. M12

    Security code ndio ipi?

    Na mimi nahitaji kufahamu security code ni ipi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M12

    Suluhisho la kudumu la manunuzi ya AliExpress na Alibaba

    Security code ni ipi ukifanya malipo kwa visa master card Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M12

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    Ndo nilichomaanisha hiyo SMS inaonekana kwa sekunde kama tatu asipokuwa anaangalia inaweza kumpita akajua bado kumbe tayari asha upload. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M12

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    Inapo load angalia kwa makini sehemu ya juu kuna notification kinatoka sekunde na kupotea kwamba umefanikiwa kuviload hivyo Cheti usipokuwa makini kuangalia unaweza ukawa una apload tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M12

    Naomba kuuliza kazi ya PCMCIA CARD SLOT

    Hiyo kitu ina kazi gani kwenye hizi Smart TV
Back
Top Bottom