Na Mimi hivyo hivyo Leo siku ya tatu, kwenye stutus Kuna deshi tu nashindwa kuwaelewa Kuna njia ya kuwasiliana nao ukiacha na zile za kwenye app yaani namba za simu ukaongea nao
Habari Wana jukwaa! Kuna Binti anapitia changamoto ya mwili wote kuhisi maumivu ya kuwaka moto muda wote, miguu kuuma, mikono kushika ganzi na mabega kuumia lakini pia na meno yanamuuma ivyo vyote anavihisi Kwa pamoja, inaweza ikawa dalili ya ugonjwa Gani?
Ndo nilichomaanisha hiyo SMS inaonekana kwa sekunde kama tatu asipokuwa anaangalia inaweza kumpita akajua bado kumbe tayari asha upload.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapo load angalia kwa makini sehemu ya juu kuna notification kinatoka sekunde na kupotea kwamba umefanikiwa kuviload hivyo Cheti usipokuwa makini kuangalia unaweza ukawa una apload tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.