Kiufupi ni hivi nilivamiwa njiani kwa sababu nadaiwa na microfinance Moja ambayo mahakama tayari iliamuru nilipe deni Hilo mwezi 6 lakini kabda ya huo mwezi kufika nilikutana na mmoja wa hiyo microfinance akawapigia simu wenzake mawili wakaja eneo ambao nipo, wakataka kunipora funguo ya pikpiki...
Nilivamiwa na watu wawili wakanikaba nikatumia kitu chenye ncha kali kumjerui mmoja, niliwahi polisi kutoa taarifa ya kuvamiwa, siku ya pili naambiwa kesi imegeuka upande wangu kwa sababu aliyenivamia ndiye aliyeumia sana, kesi sahivi ipo mahakamani, nafanyaje kutoka kwenye hii kesi.
Na Mimi hivyo hivyo Leo siku ya tatu, kwenye stutus Kuna deshi tu nashindwa kuwaelewa Kuna njia ya kuwasiliana nao ukiacha na zile za kwenye app yaani namba za simu ukaongea nao
Habari Wana jukwaa! Kuna Binti anapitia changamoto ya mwili wote kuhisi maumivu ya kuwaka moto muda wote, miguu kuuma, mikono kushika ganzi na mabega kuumia lakini pia na meno yanamuuma ivyo vyote anavihisi Kwa pamoja, inaweza ikawa dalili ya ugonjwa Gani?
Ndo nilichomaanisha hiyo SMS inaonekana kwa sekunde kama tatu asipokuwa anaangalia inaweza kumpita akajua bado kumbe tayari asha upload.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.