Kwanini Mei Mosi ya Mwaka huu 2023 Haina Shamrashamra?

Gai da seboga

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
478
962
Wasalam mabibi na mababu...

Kila nikivuta kumbukumbu zangu vizuri mwaka jana tarehe hizi mwezi wa nne kulikuwa na hamasa kubwa sana juu ya siku adhiimu ya wafanya kazi-Mei Mosi.

Kipindi kama hiki kulikuwa tayari ;

1. Kushafahamika mkoa utakaofanyika Mei Mosi kitaifa.

2. Mavyama ya wafanya kazi yalishaanza kugawa t-shirt kwa wanachama wao.

3. Kauli mbiu ya Mei Mosi "Maslahi Bora, Mishahara Juu, Kazi iendeleee" hii kauli mbiu ilitembea mitandaoni na katika makundi yote ya wafanya kazi.

Je huu mwaka 2023 kulikoni mbona kupo kimyaa sana yani ata mkoa utakaofanyika maadhimisho kitaifa hadi sasa hatujui!! Ata kauli mbiu ya mwaka huu 2023 mpaka sasa hatujui na haijavuja kweeli!!!

Mbona viongozi na waandaaji wamekata tamaa mapema hivi au ndio wanawaza ile asilimia 23% ilivyofanywaa!!!!
 
Wasalam mabibi na mababu...

Kila nikivuta kumbukumbu zangu vizuri mwaka jana tarehe hizi mwezi wa nne kulikuwa na hamasa kubwa sana juu ya siku adhiimu ya wafanya kazi-Mei Mosi.

Kipindi kama hiki kulikuwa tayari ;

1. Kushafahamika mkoa utakaofanyika Mei Mosi kitaifa.

2. Mavyama ya wafanya kazi yalishaanza kugawa t-shirt kwa wanachama wao.

3. Kauli mbiu ya Mei Mosi "Maslahi Bora, Mishahara Juu, Kazi iendeleee" hii kauli mbiu ilitembea mitandaoni na katika makundi yote ya wafanya kazi.

Je huu mwaka 2023 kulikoni mbona kupo kimyaa sana yani ata mkoa utakaofanyika maadhimisho kitaifa hadi sasa hatujui!! Ata kauli mbiu ya mwaka huu 2023 mpaka sasa hatujui na haijavuja kweeli!!!

Mbona viongozi na waandaaji wamekata tamaa mapema hivi au ndio wanawaza ile asilimia 23% ilivyofanywaa!!!!
Unaongezewa 3500 alafu unatangazwa Kila gazeti,Sasa hivi tutashehekea May day ya USA
 
Wasalam mabibi na mababu...

Kila nikivuta kumbukumbu zangu vizuri mwaka jana tarehe hizi mwezi wa nne kulikuwa na hamasa kubwa sana juu ya siku adhiimu ya wafanya kazi-Mei Mosi.

Kipindi kama hiki kulikuwa tayari ;

1. Kushafahamika mkoa utakaofanyika Mei Mosi kitaifa.

2. Mavyama ya wafanya kazi yalishaanza kugawa t-shirt kwa wanachama wao.

3. Kauli mbiu ya Mei Mosi "Maslahi Bora, Mishahara Juu, Kazi iendeleee" hii kauli mbiu ilitembea mitandaoni na katika makundi yote ya wafanya kazi.

Je huu mwaka 2023 kulikoni mbona kupo kimyaa sana yani ata mkoa utakaofanyika maadhimisho kitaifa hadi sasa hatujui!! Ata kauli mbiu ya mwaka huu 2023 mpaka sasa hatujui na haijavuja kweeli!!!

Mbona viongozi na waandaaji wamekata tamaa mapema hivi au ndio wanawaza ile asilimia 23% ilivyofanywaa!!!!
Wameshituka Mei Mosi hazina msaada kwao....miaka nenda rudi mishahara ni kiduchu

Watumishi wenye degree TAMISEMI wanalipwa 765,000 wakati mbunge anayejua kusoma na kuandika kwa mwezi ankunja zaidi ya 12,000,000
 
Wasalam mabibi na mababu...

Kila nikivuta kumbukumbu zangu vizuri mwaka jana tarehe hizi mwezi wa nne kulikuwa na hamasa kubwa sana juu ya siku adhiimu ya wafanya kazi-Mei Mosi.

Kipindi kama hiki kulikuwa tayari ;

1. Kushafahamika mkoa utakaofanyika Mei Mosi kitaifa.

2. Mavyama ya wafanya kazi yalishaanza kugawa t-shirt kwa wanachama wao.

3. Kauli mbiu ya Mei Mosi "Maslahi Bora, Mishahara Juu, Kazi iendeleee" hii kauli mbiu ilitembea mitandaoni na katika makundi yote ya wafanya kazi.

Je huu mwaka 2023 kulikoni mbona kupo kimyaa sana yani ata mkoa utakaofanyika maadhimisho kitaifa hadi sasa hatujui!! Ata kauli mbiu ya mwaka huu 2023 mpaka sasa hatujui na haijavuja kweeli!!!

Mbona viongozi na waandaaji wamekata tamaa mapema hivi au ndio wanawaza ile asilimia 23% ilivyofanywaa!!!!
Mbona bado sana mkuu
 
Kama kulipa stahiki za uhamisho mwaka hu imekuwa ngumu Kwa watumishi,sujui km Kuna kitu
 
Watumishi wenye degree TAMISEMI wanalipwa 765,000 wakati mbunge anayejua kusoma na kuandika kwa mwezi ankunja zaidi ya 12,000,000
Hii 765,000 unaikubali mwanzoni kabisa kabla hujasaini mkataba sio? Unalalamika ukiwa ndani tayari, si ndio?

Hiyo 12,000,000 imewekewa wigo kwa anayeitaka? Kwanini nafasi za ajira zikitangazwa, watu wanajaza stadiums kugombania kwenye interview LAKINI hatuoni hivyo zikitangazwa nafasi za UBUNGE?

Kuna mtu anayesoma sasa hajui mshahara atakaoenda kuupata akiajiriwa serikalini kwa elimu anayosoma?
 
Ahaa za ndani kabisaaaa mshahara utaongezeka kwa 3% kima cha chini ndio mana watumishi wamepoteza mood na mei mosi alosto ishakata mana wakikumbuka 23% wauni wakaongeza afutatu je 3 itaongezeka ngap wanabaki kujisonya na kujitukana wenyewe na kutililisha ma nyuzi umu ya kataa ualimu ni laana na nyinginezo kibao famchezo nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom