Siku moja nilikwenda kuchukua pesa dukani kwa mteja wangu, sasa pale dukani kuna ofc ya mikopo ya sokoni, yaani wale wakopeshaji wanajiita sokoni, sasa kuna mdada alikuwa hana rejesho ,wakasema wanaenda kumfilisili aisee ilikuwa ni balaa yule dada ana kilo kama 130 bonge akasema aletewe usafili...