Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,763
- 15,033
Mimi ameni agnore sio Kuni ignore 😀Walaikum salam hahaha.
Mie alishanibagua pia.
Mimi ameni agnore sio Kuni ignore 😀Walaikum salam hahaha.
Mie alishanibagua pia.
anakua kama mtungi wa gesiNa kama ni chibongew
Totoo mabonge yamekufanyaje?Ke mfupi hana shida kama SIO BONGE.
Mwanaume akiwa mfupi na pesa, mwanamke akiwa mfupi awe na thigh gap basi hata.Kwa wanaume na wanawake,
Mnawachukuliaje wanawake na wanaume wafupi??
Maana humu comments nyingi .
Mnawasema vibaya kwani wanashida gani??
Tuambieni tujue
ni kama nyie mnavochukia vitambi vyetu vya beerTotoo mabonge yamekufanyaje?
Shemeji ufupi sio Kirema na ndio maana huwa hawatumii magongo. Ila hizi mada za huyu Unique ni vichekesho sana 😂😂😂Mwanaume akiwa mfupi na pesa, mwanamke akiwa mfupi awe na thigh gap basi hata.
Narudi kwenye jibu la Unique Flower soon😁😁😁
Hiyo vita imalizeni Unique FlowerMimi ameni agnore sio Kuni ignore
🤣🤣🤣🙌🏿Kimo kifupi manake naniliu fupi
Aisee nahisi Mimi na Unique kama wale Wajenzi wa mnara wa Babeli. Lugha hazielewani 😂😂😂Hiyo vita imalizeni Unique Flower
Simtaki wala sipo singleHiyo vita imalizeni Unique Flower
Hapana kwa mwanamkeMwanaume akiwa mfupi na pesa, mwanamke akiwa mfupi awe na thigh gap basi hata.
Narudi kwenye jibu la Unique Flower soon😁😁😁
Acha kuringa Wewe maana huchelewi kusema watu Wanakubagua. Nataka nikufanye uwe Malikia kwenye huu ulimwengu wa JamiiForumsSimtaki wala sipo single
Hahaa haya bana😂shape ndo utamu wenyewe rafiki yangu
mwili wa kawaida tu unafaa, simaanishi nataka miss tanzania😂
Hi babeHapana kwa mwanamke
Wacha atuchangamshe tumepoa sanaShemeji ufupi sio Kirema na ndio maana huwa hawatumii magongo. Ila hizi mada za huyu Unique ni vichekesho sana 😂😂😂
Muone mwanasaikolojia haraka akusaidie kuna kitu hakipo sawa.Kwa wanaume na wanawake,
Mnawachukuliaje wanawake na wanaume wafupi??
Maana humu comments nyingi .
Mnawasema vibaya kwani wanashida gani??
Tuambieni tujue
MPaka umemtambua mtu hivi wewe ni kichaa uliye pewa cheti cha upotolo cha ukichaaMuone mwanasaikolojia haraka akusaidie kuna kitu hakipo sawa.