Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,141
Labda iwe kwa makubaliano kuwa mnafanya biashara, na biashara yoyote lazima mapatano kwanza kisha biashara ndipo ifanyike.
Kama biashara ya mwili wake ni heri aseme kabisa kuwa yeye ni kahaba. Asijifiche kwenye mwavuli wa kuitana wapenzi. Biashara ya ukahaba ni kongwe, tangu enzi za agano la kale ipo.
Ila kama hajakuhakikishia kuwa yeye si kahaba akihitaji pesa muulize ' " wewe ni mlemavu (ombaomba) au umefanya kazi gani?
Kibailojia wakati wa kujamiiana mwanaume ndiye hufanya kazi ngumu kuliko mwanamke, hivyo kama kipimo cha kazi yake atachukulia ni tendo la ndoa ni vyema yeye ndiye alipaswa akulipe wewe maana mwanaume ndiye hufanya kazi kubwa na ngumu kuliko mwanamke wakati wa kujamiiana.
Shitukeni wanaume mnaibiwa.
Kama biashara ya mwili wake ni heri aseme kabisa kuwa yeye ni kahaba. Asijifiche kwenye mwavuli wa kuitana wapenzi. Biashara ya ukahaba ni kongwe, tangu enzi za agano la kale ipo.
Ila kama hajakuhakikishia kuwa yeye si kahaba akihitaji pesa muulize ' " wewe ni mlemavu (ombaomba) au umefanya kazi gani?
Kibailojia wakati wa kujamiiana mwanaume ndiye hufanya kazi ngumu kuliko mwanamke, hivyo kama kipimo cha kazi yake atachukulia ni tendo la ndoa ni vyema yeye ndiye alipaswa akulipe wewe maana mwanaume ndiye hufanya kazi kubwa na ngumu kuliko mwanamke wakati wa kujamiiana.
Shitukeni wanaume mnaibiwa.