Recent content by Lyasi6

  1. Lyasi6

    Dj AD aka Mafuvu vs Dj Steve B aka Skills nani zaidi?

    DJ skills is better dan him
  2. Lyasi6

    Mapenzi ya now days afadhari kutembea na mme wa mtu

    Wengine ni wavivu wa kuongea na kumwelekeza mtu mzima jambo analopaswa kuwa analijua kabla ya kuingia kwenye mahusiano hivyo ndiyo maana huwa mnaachwa kimya kimya
  3. Lyasi6

    Wadada wa barber shop...mh...

    Hahahaha ndiyo sababu Ukifika wakati wa kuniscrub wanaenda nje, kumbe kwa sababu ya mkono wa birika? Doooh!!
  4. Lyasi6

    Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

    Heeeee mdada hiyo reseach yako umeifanya kwa Muda gani? Na magonjwa yalivyo mengi baada ya kukamilisha zoezi lako ulichunguza afya yako? Haya tumekusikia.
  5. Lyasi6

    Nawauliza wakinadada kwanini mnatutesa sana kipindi cha uchumba.

    Hahahaha wataka vizuri waogopa kugharamia?
  6. Lyasi6

    Nauza blackberry bold

    Kama huwezi weka bei hapa basi tangazo liweke pm pia
  7. Lyasi6

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    Kwa akili yako ulitaka nikujibu vipi? Mbeya ni yupi kati ya aliyesoma akahisi inamuhusu na kujifanya anajua kiasi cha kutolea maelezo au aliyeandika kile anachokifahamu? mbona unamaneno ya kimbea sana kwani wewe ni mliberali?
  8. Lyasi6

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    Usiku ilikuwa ni msg za diha, hani mai habi asubuhi kulipokucha yapata saa sita mara msg inaingia '' it's over between me and you" nilichoka college ikawa chukua siku hiyo Option1 Nikamtafuta Rafiki yake nikajilizaliza Pale na kwakuwa ananinijua mimi ni mtu Poa akanishauri meng mpaka akanionea...
  9. Lyasi6

    Asali, samli, kitunguu maji ni tiba ya nguvu za kiume- mrejesho

    Siku 7 (kutwa mara mbili) unatengeneza asubuhi na jioni mkuu. Ngoja nijaribu huenda ikarejesha heshima ya mahusiano yangu
  10. Lyasi6

    Asali, samli, kitunguu maji ni tiba ya nguvu za kiume- mrejesho

    Mkuu sio mimi ila ni mwana JF mwenzetu ndio alitupa hii dawa formula yake ni juice ya kitunguu maji kijiko kimoja + samli kijiko kimoja + asali mbichi kijiko kimoja unachanganya alafu unakunywa kutwa mara mbili mkuu,tena mkuu hata matatizo ya kupata choo kwa sasa sina. Unatumia kwa Muda gani?
  11. Lyasi6

    Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

    Doooh nimeshacheat vya kutosha kwa sababu ya masharti yake kama ulivyoyaorozesha hapo na kilichobaki ni kumfanya tution kabla sijaingia necta
  12. Lyasi6

    Mbona wameachana

    75% ya ndoa za sasa waweza tabiri na utabiri wako ukafaa
  13. Lyasi6

    Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

    yawezekana mi cjui kuchagua eh manake siuoni uzur wwte kwa hyo picha uliyoweka yan kawaida sn Anazungumzia uzuri wa rangi ndg.
Back
Top Bottom