Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

WANAUME NI KAMA PAKA, hata umuwekee bili ya steki buchani akiona panya atakimbiza tu....

Umenena ndugu yangu, mwanaume anaweza kupewa mambo mengi sana anayoyahitaji lakini cha ajabu utakuta huyo na mwanamke mwingine.

Hii ni tabia ya mtu, kwa mwanaume anayempenda mke wake na kuipenda familia yake hawezi kuona suluhisho ni kwenda nje ya mahusiano. Wanaume tujifunze namna ya kukaa na wake zetu ikishindikana bora umweleze ukweli na ikibidi mpe talaka ukachukue mwanamke mwingine unayedhani atakupa utakacho kuliko kucheat na kumweka roho juu mwenzio.
 
Nawanawake kama Ng'ombe hata umtandikie zuria atalinyea tu wao nipale wanapotaka kutokana na hisia zao basi.

mnatuchosha akili, tushindwe kuwaza means za kupata mahela tukae kubuni mbinu za kuwafanya mtulie
sijui mmeumbwa kuhangaika teh
 
Umenena ndugu yangu, mwanaume anaweza kupewa mambo mengi sana anayoyahitaji lakini cha ajabu utakuta huyo na mwanamke mwingine.

Hii ni tabia ya mtu, kwa mwanaume anayempenda mke wake na kuipenda familia yake hawezi kuona suluhisho ni kwenda nje ya mahusiano. Wanaume tujifunze namna ya kukaa na wake zetu ikishindikana bora umweleze ukweli na ikibidi mpe talaka ukachukue mwanamke mwingine unayedhani atakupa utakacho kuliko kucheat na kumweka roho juu mwenzio.

na huwezi kumpata mtu ambaye atakuridhisha 100 pa labda uumbe wako....
 
Doooh nimeshacheat vya kutosha kwa sababu ya masharti yake kama ulivyoyaorozesha hapo na kilichobaki ni kumfanya tution kabla sijaingia necta
 
Mhh naona hainihusu,mana nahisi nta'cheat kabla yake,so if he does it too,ngoma draw
 
Back
Top Bottom