hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
hata mm mwenyewe sijaulewa huu uzi unahusuje?
maana maelezo hayajitoshelezi wala hayaeleweki
au ndo na yeye ametoa uzi anawadisturbe maserver huyu
Huku duniani mna meni sana
hata mm mwenyewe sijaulewa huu uzi unahusuje?
maana maelezo hayajitoshelezi wala hayaeleweki
au ndo na yeye ametoa uzi anawadisturbe maserver huyu
mliachana wakati bado unampenda na Unaishi na kimvuli chake bado!!kuna uwezekano mkubwa ukaomba nafasi nyingine
Pole mzaz kama limekuuma.
mmmhhh
ndoa hizi za ckuhiz, mambo ya kukurupuka haya
ona ss mtt anaanza kulelewa na mzazi mmoja
Mkuu kapicha tafadhali...
Hizi ndoa za siku hizi...bora kuzaa tu na kulea kimalaika.
ndoa walikufa nazo babu na bibi zetu
Namna gani alikuwa anamuibia mwenzie
unatia aibu mwanaume mzma unakuwa kihelehele kufuatilia ndoa za watu........... Unachekelea kuvunjika kwa ndoa za watu?! Subir na ww linakungoja hlo
Picha ya kazi gani? Hatudhalilishani hapa.
unatia aibu mwanaume mzma unakuwa kihelehele kufuatilia ndoa za watu........... Unachekelea kuvunjika kwa ndoa za watu?! Subir na ww linakungoja hlo
Ex-GF wangu alipoolewa mwaka 2010 desemba nilileta thread hii hapa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/94798-ex-gf-wangu-kaolewa-jana.html.
Watu walininanga na kunisuta sana eti ni wivu unanisumbua. Walionielewa ni wachache sana. Juzi tuesday nimekutana naye kaniambia wameachana, tena kwa talaka kabisa ya mahakamani.
Jamani muwe mnakubali tu kuwa kuna ukaribu fulani ukishakuwa nao na mtu wako, basi hata kwa hisia tu unaweza kujua kinachomfaa na kisichomfaa.
Mimi nilipokuwa naye sikuwahi kumuuliza size ya kiatu au ya bra, nikifika dukani nikitazama tu naona hiki kitamtoa na kweli hata mwenyewe alikuwa anashangaa. Nilijua hisia zake na taste yake, yaani kwa karibu kila kitu.
Anyway, yaliyopita yamepita. She is happy with her child and professional life, kiuchumi pia yuko vizuri. Mimi pia bado niponipo.
Kuna waliotabiri kuwa ningeleta thread nyingine kumhusu, basi utabiri wao umetimia.
Yaaa ni kweli apandacho mtu ndicho atakachovuna acha akenue meno sasa anafikiri mazuri"....ole wao wanao cheka sasa maana baadaye watalia."
Nakupa pole kwa sababu.
1. Alikuacha na kuolewa na MTU mwingine kwa kuwa ulikuwa bado upo upo tu.
2. Hakuitaji kwa sasa sababu she happy with her child and professional life , we we bado upo upo tu.
Mkuu, it time to move on. au bado upo ........ Tu.
We hapo ulipo umenuna?