Habari wana JF, naamini mpo salama na mna Afya njema. Nakuja kwenu tena nikihitaji hiyo spare part (enjoctor pump) ya mashine yangu Air compressor Jenbacher JW223.
Matatizo: inachelewa sana kuwaka, ni mpka ubust na moto mkubwa. Yaani uwe na battery 3 au 4 za kuanzia N70. Wakati stater yake ni...
Aiseee, mimi binafsi ni muoga wa usahili, najijua tokea nasoma. Hivyo niliamua kujiajiri mapemaa kabla hizi mbanga za usahili hazijaanza. Ila kweli maisha yanabadirika jmn, siku hizi mambo yako serious kuliko zamani.
Sie bhana hatuhusiki, hata tukileta matopic magumu kama phonology, semantics, hawawezi kutuelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana classmate tulikua wote udsm 2015-2018.
Pole sana ndugu yangu, nilipitia maumivu kiasi lkn alikua ni mtoto wangu wa kiume alifariki 2021 akiwa na mwaka mmoja na miezi 9.
Ila kwako naona ni kubwa zaidi. Cha muhimu bwana prospa jitahidi kua na ustahimilivu wa kiume kwasababu wewe ndo...
Issue ni kua wanalishwa chakula ambacho sio cha utamaduni wao, sehemu kubwa ya Asia wana tupia product ya mchele na ngano.
Mitume wangezaliwa africa hasa wangeweza kutumia product za mazao ya Africa.
Lkn wapalestina wako sahihi kwasababu itahitaji mda kuweza kuzoea aina ya chakula wanayolishwa...
Joseph kony mwamba ni jau sana kule northen uganda. Ila inasemekana ni njama moja na mze museveni, pia wanasapotiwa na mmarekani. Hivyo uwepo wa kony unarahisisha upatikanaji wa siraha kwa museveni kutoka nje.
All in all, vikundi vyote vinaumiza sana raia na sio serikali.
Sasa mdogo angu hapo huitaji akili nyingi sana kuonesha kua huyo bi mkubwa amekuchoka. Lkn sasa udigombane na mtu mwenye umri sawa na mzazi wako.
Pia usimwambie mwanae (rafiki yako) kuhusu hayo mambo ya bimkubwa wake (usigombanishe familia ya mtu mwingine).
Usichelewe sana fanya ihame hapo...
Asa sikia mdogo angu, ukitaka mambo yanyooke ghetto ingiza pisi moja unayoielewa then ikule hiyohiyo halafu plani mishe zako mpaka ufike malengo fulani then ndo uanze uchakaramu wako.
Hii issue kuna time ilinisaidia nilikua babe fulani nikawa naikula hiyohiyo huku napiga mishe zangu mpaka mambo...
Hapo inategemea na mwanamke mwenyewe. Truth to be told, mwanamke alie olewa si mrahic sana kugawa k kwa mwanaume mwingine, hua kunakua na sababu nyingi sana mahusiano ya ndani yakiwa mabaya au uchumi ni mbaya sana.
Sio mke wa mtu tu, ukimlala mwanamke yeyote usimtangaze, pia mheshimu hata kama mmeachana. Kama hamkuachana kwa ubaya msaidie akihitaji msaada wako.
Be a man, kua mwanaume.
Si vema kulala na mwanamke wa mtu hasa yule alie olewa kwa sheria ya dini either kanisani au msikitini. Mm ni mkristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.