Embu tuache kutaja Biblia kuwa kama referencea kwa mambo yasiyo na maana, sasa kama Biblia haijataja mtu yeyote kula ugali au kulima mahindi, ina maana kula mchicha, pilau, biryan ni kosa?Kusoma kwangu kote Biblia kwa ujanja ujanja sijawahi kuona sehemu yoyote ,nabiii alisonga ugali au alilima mahindi.Ila mkate ,ngano upo.Imagine mtu anakupikia liugali na manywele (Mansansa).
Mungu alimwambia adamu, chakula chake kitatoka ktk ardhi, kwahiyo chochote kinacholimwa kikamfaa mwanadamu kwa akili ya kula basi anaweza akala.