hivi inawezekanaje lowasa akasema kua yeye hausiki kwenye richmond?kwakuzingatia yeye ndo alikua waziri mkuu. Je iweje sasa anaanza kusema anataka kuwasaidia vijana wakati alikuepo madarakani na hakuonesha juhudi mufilisi kama anavyofanya sasa?
Ameshika nafasi mbalimbali kwenye serikali lakini...
Amekutuma umtete wakati anavyotubia na richmond we ulikua wapi nae kama anafeza za kutosha mbona halali kisa urais na kamwe hatoupata.mafisad mwisho wenu 2015
Du hata mafisadi nao ni wapambanaji?usimpe sifa ya upambanaji au nawewe anakutumia?uliza alietumiwa kumpa sumu mwakyembe yuko wapi?you are the next mungu anawaona na atawalipa hapahapa duniani nyie mafisadi wakubwa
Taarifa ya habari tbc imeonesha jinsi vijana yaani wanachuo cha walimu songea waliokwenda kumwangukia mkuu wa mkoa wa ruvuma mwambungu.hii ni baada ya kugomea kufanya mtihan wa somo ambalo hawakuwahi kufundishwa.kwa mshangao wangu mkubwa ni jinsi vijana hawa wasomi wa kitanzania walivyojiaibisha...
Naangalia bunge lakini naona wabunge walioongea hadi sasa wa ccm wanajadili swala la kumtambua rais badala ya hoja iliyowekwa mezani.du bulaya easter nilikua namheshimu lakin nimeona leo jinsi anavyoacha kuzungumza hoja za msingi na kuanza vijembe(udaku).du kweli hawa hawaangalii maslahi ya...
Hivi nasikia vazi vazi la taifa hiv lina umuhimu gani?kwasababu watanzania wengi sidhani kama litachochea uzalendo.uzalendo unatakiwa kuanza na watawala kwanza.au ndo mambo ya posho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.