Mungu anatamlinda na kumpa nguvu! tunamwombea.
Ugua pole Mh Edward Lowasa, na bila shaka utapata uponyaji mapema. Mungu akutangulie.
Watanzania sasa tunao utamaduni mpya wa chuki za kipuuzi ambao umeasisiwa na mojawapo ya genge la CCM linaloongozwa na Sitta. Hatufiki mbali kwa upuuzi huu.Jamaa kasikia Mwakyembe kasambaza waraka, mavi debe. Mwakyembe sasa huo waraka mtumie na yeye naamini utakuwa umemaliza kazi fastaaaaaaa.
Watanzania sasa tunao utamaduni mpya wa chuki za kipuuzi ambao umeasisiwa na mojawapo ya genge la CCM linaloongozwa na Sitta. Hatufiki mbali kwa upuuzi huu.
Wakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo (Ischemic Stroke) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani. Baada ya siku chache Mh. atarudi kuendelea na shuguli za ujenzi wa taifa. Muombeeni mpiganaji wetu. Asanteni
Wapo wanaosambaza ujumbe kupitia SMS kwamba Mh. Amefariki, hapana. Huo ni uzushi wa kupuuzwa. Mh. Ni mzima. Wapiganaji Mh. Benno Malisa, January Makamba, Makongoro Mahanga, Mama Shelukindo na Zitto Kabwe, endelezeni vita vya kulikomboa taifa. Mh. anawaaminia
Watanzania sasa tunao utamaduni mpya wa chuki za kipuuzi ambao umeasisiwa na mojawapo ya genge la CCM linaloongozwa na Sitta. Hatufiki mbali kwa upuuzi huu.
Ugua pole Mh Edward Lowasa, na bila shaka utapata uponyaji mapema. Mungu akutangulie.
Endelea kuwajenga chuki wananchi masikini na wasio na elimu kuna siku utajikuta hata wewe ni muhanga wa chuki hizi. Kumeanza tabia wananchi wakiona mtu ana nyumba nzuri ama gari zuri unaitwa fisadi. Subiri hii chuki ikifika kileleni kama tutabakia salama.kama wewe ni mpuuzi usiwajumuishe na wengine, heri mngemsikia Horace Kolimba r.i.p alipowaambia lichama lenu limepoteza dira na mwelekeo mkazingatia na kurejea kwenye grid reference, ona sasa mshaanza kujiona wapuuzi tena hadharani, aibuuu!
Kweli kabisa mkuu wangu huu ushamba sio wa kuushabikia kabisa, kuna jamaa ananiita fisadi eti kwa sababu nina latest Blackberry!! hii si hatari people?Endelea kuwajenga chuki wananchi masikini na wasio na elimu kuna siku utajikuta hata wewe ni muhanga wa chuki hizi. Kumeanza tabia wananchi wakiona mtu ana nyumba nzuri ama gari zuri unaitwa fisadi. Subiri hii chuki ikifika kileleni kama tutabakia salama.
Wakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo (Ischemic Stroke) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani. Baada ya siku chache Mh. atarudi kuendelea na shuguli za ujenzi wa taifa. Muombeeni mpiganaji wetu. Asanteni
Wapo wanaosambaza ujumbe kupitia SMS kwamba Mh. Amefariki, hapana. Huo ni uzushi wa kupuuzwa. Mh. Ni mzima. Wapiganaji Mh. Benno Malisa, Peter Serukamba, January Makamba, Makongoro Mahanga, Mama Shelukindo na Zitto Kabwe, endelezeni vita vya kulikomboa taifa. Mh. anawaaminia
Watanzania sasa tunao utamaduni mpya wa chuki za kipuuzi ambao umeasisiwa na mojawapo ya genge la CCM linaloongozwa na Sitta. Hatufiki mbali kwa upuuzi huu.
funkuro diopuluto ! Nyumba nzuri zimeanza jana ?Endelea kuwajenga chuki wananchi masikini na wasio na elimu kuna siku utajikuta hata wewe ni muhanga wa chuki hizi. Kumeanza tabia wananchi wakiona mtu ana nyumba nzuri ama gari zuri unaitwa fisadi. Subiri hii chuki ikifika kileleni kama tutabakia salama.
Lowasa anachukiwa kutokana na ukristo wake, lakini mkumbuke 2015 ni zamu ya wakristo kama sio Lowasa basi ni Dr Slaa, madhara ya kuongozwa na Imamu tunayaona sasa jitu kubwa zima linashindwa kuwafuta kazi watu ambao amewateuwa yeye mwenyewe anasubili mpaka ndugu zetu wafe kwa ajili ya urho wa madaraka wa watu wawili.Kafia mbali huko wewe lowasa,jambazi mkubwa wewe wa mali za watanzania