Huu uvumi(hoax kwa kingereza) umekuepo tangia 2008 ukiwa unazungushwa kwa barua pepe.Haishangazi kuona kwamba umefufuliwa wakati wa kipindi hiki cha pasaka.Soma link ifuatayo mpaka mwisho Miracle in Egypt - Buried Children Saved By Jesus
Na uache kuendeleza uongo coz sheria ya mtandao huenda...
Ukitaka vifaa vya ujenzi Dubai tafuta sehemu inayoitwa dragon mart.Pale kuna maduka yawachina na wana vifaa vya ujenzi hasa finishing aina mbalimbali.Ukihitaji msaada wangu ni pm.
Je una uwezo wa kunisaidia kuandaa proposal mpaka dissertation ?
Ni pm namba yako ya simu au email address tuwasiliane.
pia napatikana kwenye strike5867@gmail.com,
Malipo yauhakika yatakuepo.
Acheni kubishana jisomeeni hapa kisa cha Sudani kusini.Wale wenye kupenda Soda, chocolate na vitu vingine vitamu kuna ingredient inaitwa "Gum arabic" ambayo ni muhimu sana kwenye kuzalisha vitu nilivyotaja hapo juu.Inasemekana kwamba Sudan ndo inayoongoza kwa kuzalisha hio kitu kwa sababu ya...
Wabongo tunapenda PR bwana.....yani mtu bado yupo hospitali lakini anafanya jitihada za kuita wandishi wa habari ili ajisafishe. Something is really fishy here!
Nilikua najiuliza kwa nini ndege inapokanyaga ardhini abiria tunaambiwa tusifungue mikanda mpaka ndege itakaposmama kabisaa na mpaka pale milango itakapofunguliwa.Huenda hii inaweza ikawa sababu.
Inabidi mameneja wa matawi watekeleze sheria ili kudhibiti vitendo kama hivi. Benki nyingi zina sheria zinazokataza matumizi ya simu ndani, both kwa wateja na staff.Kiukweli siwezi kusema kwamba nimeingia ndani ya matawi ya mabenki yote huko bongo.Lakini mara nyingi naona watu wakitumia simu...
Most wars are fought in the name of nationalism.....arbitrary lines on a map dividing your space from mine.Should we ever revolve from thinking of ourselves as citizens of the World rather than nationalists, peace might just be in sight.
Inasikitisha pale watu wanaojiita ma great thinkers wanapoanza kudadisi mambo kiutaniutani.vifo vinatokea alafu mtu anakimbilia kujadili who is a billionare and who isnt.It doesnt need a rocket scientist to understand that billlonare is a relative term, especially when used in our LDC context...
Duh, kwa jinsi anavyohema Lucy, inaonekana kulikua na mtafaruku huko ndani, na huenda akatoa options mbili..... ama atangazwe kama wife pekee, au divorce....it's comedy when I see a strong man dancing to the tunes of his wife!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.