Jaribu kuwa na staha kidogo unapoiongelea Jamii Forums na kutumia maneno ya kuibeza. Tatizo ni zaidi ya ‘ukubwa’ au ‘udogo’ wa Taasisi husika, na tukijaribu kuliangalia kwa mlengo huo tutawa tunafeli zaidi. Haihusiani na kuogopwa kwa chombo kimoja cha habari kwa kuwa ni cha ‘kimataifa’ lakini...
Mishahara kama mishahara bila mkataba kuna ukakasi kidogo hapo, lakini pia tunatakiwa jiuliza, je unapoongelea mishahara ina maana inajumuisha stahiki zote ambazo mfanyakazi wa kawaida anastahili?
Naweza nikasahihishwa lakini taasisi za kidini zina kawaida ya kuwa na watu wengi ambao ni waumini...
Ahsante kwa hili.
Moja ni “Landlocked” na pia kwa kweli hatuwezi sema ni Kituo cha Biashara cha Kimataifa ikiwa 99% ya bidhaa zinazouzwa pale ni bidhaa bandia (counterfeit goods). Katika hadhi za Kimataifa hilo tu linafanya tutolewe katika hadhi hiyo.
Lakini katika bajeti iliyosomwa kwenye kikao kilichopita cha Bunge la Bajeti, kulikuwa na ongezeko la Ushuru wa Magari lililoainishwa.
Swali ni hili… Je ushuru wa magari umepanda?
Umeandika sawa ila unapotumia neno waasisi na kuweka hii orodha unakuwa kwa namna moja ama nyengine unakosea. Mfano Langa (May his Soul continue resting in eternal peace) aliibuka baada ya shindano lile ambalo waliunda kundi Yeye, Witness na Shaa (Bongo Flava tayari ilikuwa imetake off).
Kuna...
Tuwe tunaangalia na kuheshimu watu na kazi zao. Sanaa imeenda mbele sana siku hizi na nilikuwa sijui kama kwenye show bado kuna malipo kama haya (hususani kwa Legends kama Nature).
Nature sanaa yake ndio bidhaa yake na yeye ameipa value yake. Anapohitaji malipo sahihi kwa kwazi ya jasho lake...
Katika pita pita zangu mitandaoni leo nimekutana na "Twit" inayosema kwamba Gavana wa BOT Gilman Rutihinda (1989 - 1993) alifariki kutokana na ajali ya gari mwaka 1993 kama hii tweet inavyojieleza:
Hata hivyo kuna article ya Mwaka 2011 hapa katika Forum inayoelezea kifo cha Gavana Rutihinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.