Onesha Ushirikiano kwa Makarani wa Sensa

Samson Ernest

JF-Expert Member
Aug 28, 2014
404
651
Kesho 23.8.2022 ni siku ya kuhesabiwa(sensa) kwa nchi yetu Tanzania, hili ni suala la kibiblia kabisa watu kuhesabiwa wala sio suala la kisiasa.

Namaanisha usichanganye siasa na Sensa, utaratibu wa kuhesabiwa umetajwa kwenye biblia (LK 2:1-5). Wala hujapingwa au kukatazwa.

Nakusihi uonyeshe ushirikiano wako kwa makarani wa Sensa watakaofika kwenye makazi yako.

Usiwe kama watu wasioelimika au wasiokuwa na maarifa ya neno la Mungu, uwe muungwana.

Mungu akubariki sana
Samson Ernest
 
Kesho 23.8.2022 ni siku ya kuhesabiwa(sensa) kwa nchi yetu Tanzania, hili ni suala la kibiblia kabisa watu kuhesabiwa wala sio suala la kisiasa.

Namaanisha usichanganye siasa na Sensa, utaratibu wa kuhesabiwa umetajwa kwenye biblia (LK 2:1-5). Wala hujapingwa au kukatazwa.

Nakusihi uonyeshe ushirikiano wako kwa makarani wa Sensa watakaofika kwenye makazi yako.

Usiwe kama watu wasioelimika au wasiokuwa na maarifa ya neno la Mungu, uwe muungwana.

Mungu akubariki sana
Samson Ernest

Huna lolote la kusema kuhusu tozo ndugu?
 
Back
Top Bottom