Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 404
- 651
Kesho 23.8.2022 ni siku ya kuhesabiwa(sensa) kwa nchi yetu Tanzania, hili ni suala la kibiblia kabisa watu kuhesabiwa wala sio suala la kisiasa.
Namaanisha usichanganye siasa na Sensa, utaratibu wa kuhesabiwa umetajwa kwenye biblia (LK 2:1-5). Wala hujapingwa au kukatazwa.
Nakusihi uonyeshe ushirikiano wako kwa makarani wa Sensa watakaofika kwenye makazi yako.
Usiwe kama watu wasioelimika au wasiokuwa na maarifa ya neno la Mungu, uwe muungwana.
Mungu akubariki sana
Samson Ernest
Namaanisha usichanganye siasa na Sensa, utaratibu wa kuhesabiwa umetajwa kwenye biblia (LK 2:1-5). Wala hujapingwa au kukatazwa.
Nakusihi uonyeshe ushirikiano wako kwa makarani wa Sensa watakaofika kwenye makazi yako.
Usiwe kama watu wasioelimika au wasiokuwa na maarifa ya neno la Mungu, uwe muungwana.
Mungu akubariki sana
Samson Ernest