Mzumbe University invites applications from qualified Tanzanians and non-Tanzanians for admission into Certificate, Diploma Bachelor and Postgraduate programmes offered by the University for 2021/2022.
The University offers Bachelor Programmes on three campuses for the academic year 2021/2022...
Kazi yangu ya kwanza baada ya kutoka chuo, nilikutana na ujumbe Whatsapp ukitaka mtu wa nafasi ambayo niliona ninaweza fit. Basi nikatuma maombi kwa maelekezo yaliyotolewa pale, ambapo ilikuwa ni kutuma email yenye viambatanisho vya vyeti pamoja na wasifu. Baada ya muda tulitumiwa email ya...
Management haitafuti views, ubora wa wimbo ndio utakaokupa views (Sote tunafahamu hili). Vilevile tukumbuke tu kwamba wimbo wa Alikiba uliwahi simamishiwa zile views zake. Japo sijui kama walifanikiwa kuzirudisha au laah.
Dell ni common na user support inapatikana kwa urahisi.
Hp ni ngumu (hardware), durable. Tatizo technical support haiko rafiki kwa mafundi wengi lakini pia haiko compatible na software zilizo nyingi. Kwa maana kwamba unahitaji drivers nyingi kwa kila component
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.