Habari wadau..
Mimi mshabiki wa sanaa nimeshangaa sana mvumo wa radi kutoka almost a month sasa ina views 2.5m na hapo hapo iyena imetoka 4 days ago ina 2.6m.
Management ya king wanakosea wapi maana walishinda redioni siku nzima na tv huku wenzao wametengeneza drama tu za mawifi na wakwe
Nini tatizo ni management ya king au ubunifu wa madale
Mimi mshabiki wa sanaa nimeshangaa sana mvumo wa radi kutoka almost a month sasa ina views 2.5m na hapo hapo iyena imetoka 4 days ago ina 2.6m.
Management ya king wanakosea wapi maana walishinda redioni siku nzima na tv huku wenzao wametengeneza drama tu za mawifi na wakwe
Nini tatizo ni management ya king au ubunifu wa madale