Hebu ' nishawishini ' na Mimi niamini kwamba Hayati Ghaddafi ndiyo alikuwa akiwatendea vyema Wananchi wake

Kama kweli unataka kujua ngoja tukujuze ila kama utakuwa na chuki zako binafisi hayo yako

Kipindi cha utawala wa Gadafi huduma za afya za wananchi wa Libya zilikuwa bure

Elimu ilikuwa bure hadi unapo fika mwisho wa uwezo wa akili yako

Umeme ulikuwa bure kwa wananchi wote kasoro viwandani ndio walikuwa wanalipia kwa sababu wanautumia kuzalishia

Ilikuwa ukitaka kuoa unalipiwa kila kitu katika maandalizi ya harusi na mkisha oana mnapewa pesa za kwenda kuanzia maisha

Mwisho lilikuwa ni taifa linalo ishi maisha ya raha na linalo heshimika duniani kite

Hayo mambo yote leo yamebakia kuwa historia kwa wananchi wa Libya
Wasio watakia mema waliwagombanisha na wao wakaingia mkenge leo wanajuta

Waafrika na waarabu ni hatupo sawa kiakili ni kama alivyo sema Trup tukipewa silaha tuna uawana wenyewe kwa wenyewe badae wazungu walio wagombanisha na kuwapa hizo silaha wanasepa wanakuachieni muendelee kuuwana maana mnakuwa mmesha jengeana chuki ambayo haiwezi kuisha kwa karine moja
 
Kama kweli unataka kujua ngoja tukujuze ila kama utakuwa na chuki zako binafisi hayo yako

Kipindi cha utawala wa Gadafi huduma za afya za wananchi wa Libya zilikuwa bure

Elimu ilikuwa bure hadi unapo fika mwisho wa uwezo wa akili yako

Umeme ulikuwa bure kwa wananchi wote kasoro viwandani ndio walikuwa wanalipia kwa sababu wanautumia kuzalishia

Ilikuwa ukitaka kuoa unalipiwa kila kitu katika maandalizi ya harusi na mkisha oana mnapewa pesa za kwenda kuanzia maisha

Mwisho lilikuwa ni taifa linalo ishi maisha ya raha na linalo heshimika duniani kite

Hayo mambo yote leo yamebakia kuwa historia kwa wananchi wa Libya
Wasio watakia mema waliwagombanisha na wao wakaingia mkenge leo wanajuta

Waafrika na waarabu ni hatupo sawa kiakili ni kama alivyo sema Trup tukipewa silaha tuna uawana wenyewe kwa wenyewe badae wazungu walio wagombanisha na kuwapa hizo silaha wanasepa wanakuachieni muendelee kuuwana maana mnakuwa mmesha jengeana chuki ambayo haiwezi kuisha kwa karine moja
nadhani suala la kugombanishwa halijali uafrika, uzungu au uarabu. Binadamu yeyote anaweza kugombanishwa na akaingia mkenge. Hao wazungu wenyewe washadundana sana tu kwa fitna.. Ni ubinadamu.
 
Umeandika gazeti refu kenye fact nyingi lakini kuwaita watu wa Benghaz ni vibaraka post yako nzima imepoteza maana na ni irellevant inapoteza credibility yote ya kusomwa na watu wenye akili.

Huwezi kuwaita red indians ni vibaraka nchini Marekani wakihisi kutokuthaminiwa kubaguliwa na kuteswa kutokana na kabila lao wakati wao ndio wenye nchi kiasili na kihistoria.

Unaowaita wewe vibaraka ndio wenye Taifa lao la Libya na siyo huyo Ghaddaf na mabedui wenzake.

Hilo tatizo lipo hata Tanzania kuna immigrants wamejivika Utanzania na kutunyanyasa ndani ya Taifa letu mama Tanzania, ole wao historia huwa haidanganyi ni swala la muda tu.

Ukweli unabakia kuwa uleule na upo wazi kwamba serikali iliyopo Libya kwa sasa ni ya vibaraka wa nchi za magharibi.

Tukitaka tuanze kuwaongelea hao vibaraka mmojammoja mimi nipo tayari maana ninazo taarifa zao wote ila itabidi tuanzishe mada ingine.

Ingawa unaweza kusema nimeandika gazeti lakini hizo ni facts kabisa kuhusu Libya ambayo nimekaa na kuiona kabla na baada ya kusambaratishwa kama ilivyo sasa.
 
Gaddafi carried out the world’s largest irrigation project
The Gaddafi regime embarked on one of modern man’s edifices of development: the Great Man-Made River Project to make water available to the whole country. As is known, Libya is in a desert region and Gaddafi’s plan to ascertain every citizen of access was the Great Man-Made River Project.
Faiza

Habari ya siku nyingi iron lady!

Missing you crazily
 
Libya yenye watu kama Dar na mapato zaidi ya serikali za Kenya, Uganda na Tanzania halafu bado mnamsifia gaidi????
 
Nyie mzoea tu kupewa kanga,kofia na matisheti kwenu ndo mnaona bora mumpe kura.
Ghadafi alikua mtu wa hovyo tu, yaani kisa umenilipia mahari, umenipa nyumba na umeniwekea pesa kwenye account bila ya kuvifanyia kazi basi niendelee na maisha tu. Yaani kama nataka kuwa mfanyabiashara mkubwa au mwanasiasa nifute hizo ndoto sababu tu naoa, nakula na kulala kwenye nyumba nzuri!!
Kwa mbongo huyo ndiyo kiongozi
 
mzee gaddafi kafanya mengi makubwa kwa walibya na hawatakuja kumpata raisi kama yule mpaka kiama kinasimama.
Aliweza kura na VIPOFU.
japo mtasema ni dikteta kwa kukaa muda mwingi madarakani.
lakini mbona HAMUHOJI UTAWALA WA KIFALME WA UINGEREZA SIO UDIKTETA?
uingereza wanatawala ukoo mmoja.
gaddafi alikuwa bora atakuwa bora NA ATABAKI KUWA BORAAA.
 
Jamaa alikuwa anawawekea wavivu KITONGO ambacho kingekuwa bongo angeabudiwaa

*UKIITAJI VITU USED NA VIPYA*
-Aina zote kwa bei. "NAFUU".. ni PM
Kuna Vitanda,Makabati,Magodoro,Laptops,Cameras,Majiko,Mazurka,TV,Showcases Nk
................................,...
 
1. In Libya, a home is considered a natural human right
“Whoever possesses the house in which you dwell, the vehicle in which you ride or the income on which you live, possesses your freedom, or part of it. Freedom is indivisible. For people to be happy, they must be free, and to be free, they must possess the possibility of satisfying their own needs. Whoever possesses the means of fulfilling your needs controls or exploits you, and may enslave you despite any legislation to the contrary.

The material needs of people that are basic and personal start with food, housing, clothing and transport and must be regulated as private and sacred and their satisfaction should not depend on hire. To satisfy these material needs through rent, gives the original owner the right to interfere in your personal life and to control your imperative needs, even if the original owner be the society in general. The original owner can usurp your freedom and take away your happiness. The interference of the original owner may include repossessing your clothes, even leaving you naked on the street. Likewise, the owner of your means of transportation may leave you stranded on the sidewalk, and the owner of your house may make you homeless.

People’s imperative needs cannot be regulated by legal or administrative procedures. They must be fundamentally implanted into the society in accordance with natural rules.”

2. Education was free
Gaddafi’s view on education is something that seems to resonate with many. He believed that education had nothing to do with a routinized curriculum. He pointed to the fact that the western world has forced their youth to learn during specified hours while sitting in rows of desks, and that this type of education now prevails all over the world and goes against human freedom.

“State controlled education, which governments boast of whenever they are able to force it on their youths, is a method of suppressing freedom. It is a compulsory obliteration of a human being’s talent, as well as a coercive directing of a human being’s choices. It is an act of dictatorship destructive of freedom because it deprives people of their free choice, creativity and brilliance. To force a human being to learn according to a set curriculum is a dictatorial act. To impose certain subjects upon people is also a dictatorial act.

He strongly believed that state controlled/standardized education is again, a “forced stultification” of the masses. He believed that all governments who set courses of education in terms of a formal curriculum and force people to learn them are coercing and manipulating their citizens.

“All methods of education prevailing in the world should be destroyed through a universal cultural evolution that frees the human mind from curricula of fanaticism which dictate a process of deliberate distortion of man’s tastes, conceptual ability and mentality.”

He did not mean that schools should be closed, in fact he believed that education was important and that society should provide all types of education that gives the individual the chance to choose freely.

“Knowledge is a natural right of every human being of which no one has the right to deprive him or her under any pretext, except in a case where a person does something which deprives him or her of that right.”

3. Medical treatment was free
It’s beyond me as to why medical care is not free in all countries. This should be basic human right and we’ve drifted far from it. Are we not capable of creating something better as to where medical treatment could be free for everyone in all countries? Gaddafi strongly believed in this, and created it for his people.

4. There were no electricity bills in Libya, electricity was free

The western world wants to put a meter on everything. It’s just another way, out of many, to enslave us. Basic human rights are not met in the western world, and what’s even more discouraging is the fact that most of us sit back and accept it, or don’t even realize it.

5. Gaddafi carried out the world’s largest irrigation project, known as the Great ManMade River project, to make water readily available throughout the desert country
gad

6. All newlyweds in Libya would receive 60,000 Dinar ($50,000 USD) by the government to buy their first apartment to help start a family.
7. A portion of Libyan oil sales is or was credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens
8. Libya had it’s own state bank
Libya had its own State bank, which provided loans to citizens at zero percent interest by law and they had no external debt.

9. A bursary was given to mothers with newborn babies
When a Libyan woman gave birth she was given the equivalent to $5000 USD for herself and the child.

10. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government would fund them to go abroad for it – not only free but they get US $2,300/month accommodation and car allowance
 
Bila kujuwa historia ya Libya na hasa watu wa Beghaz hata uambiwe sifa gani za Ghadaff hutoelewa lolote utaendelea kuwa confused tu.

Nitaleta thread kiini hasa tatizo la Ghadaff ni nini wengi hawajahi kulisema hili la ukabila hawa kabila bedui kwenda kutawala wenyeji wa Benghaz na kupiga marufuku watu kuongea lugha zao waongee lugha moja tu ya mabedui.

Hata angekuwa na mema gani Ghaddaf alikuwa ni mkoloni hapo Libya yeye kabila lake ingawa Wabongo wengi hawajui kama Waarabu wana makabila na koo.

Historia ya Ghadaff zina ufanano na Saddam Hussein na Watikrit wake na waislamu wa Sunni wenzanke huku washia na Wakurd wakikandamizwa.

Tanzania mbaya wetu ni ccm tu siyo makabila. Ikifa ccm na nchi imekombolewa.
Mkuu utakapo leta hiyo thread tafadhali naomba uni tag na mimi kusudi niweze kujua kwa kina.
 
We jamaa ni bonge la ndezi,yani unataka kila mmoja atoe maoni yanayokufurahisha wewe tu.Bas usingeleta hapa hilo bandiko lako.Unajifanyaga kama mtu mwenye akili nyingi sana hapa duniani kushinda wengine wote.Jitathmini.Sijaona sababu ya kusema "FOOLISH".PATHETIC FOOL
Jamaa ana " umama" mwingi sana.
Ameshakorofishana na watu wengi sana JF kwasababu ya "umama" aliokua nao.
Nafikiri hata BlackPanther amempuuza kwasababu anaijua tabia yake vyema.
 
Hivi Gadafi aliingiaje madarakani? Aliua wangapi? Kumbukeni historia hujirudia na malipo ya ubaya ni hapa hapa duniani.

NB: Adolf Hitler naye alikuwa mzuri sana kwa Wajerumani.
 
Hivi Gadafi aliingiaje madarakani? Aliua wangapi? Kumbukeni historia hujirudia na malipo ya ubaya ni hapa hapa duniani.

NB: Adolf Hitler naye alikuwa mzuri sana kwa Wajerumani.

Tangia gadafi auawe wangapi wamekufa mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom