Recent content by lumanija1990

  1. L

    Kabila hana pesa ya uchaguzi, ana pesa za zawadi

    Sasa mkuu kama zawadi ni kuuza tu kakipande cha gold, hapo DRC kuna madin kiasi gani mppaka washindwe kupata hela ya uchaguzi, sasa ni wauze gunia tano za gold ili waendeshe uchaguzi.
  2. L

    Usifanye biashara kama huna yafuatayo

    mkuu mimi nina mke ninaye hapa chuoni ila yeye hasomi na nina mpango mwezi wa saba nianzishe biashara duka la nafaka hapa moshi yeye ndo atasimamia, mimi nitakuwa naenda kama sina vipindi, mkuu vipi nitakuwa napoteza hela ila napenda biashara niasoma BBA kwa hiyo napenda biashara na ninajifunza...
  3. L

    Ukweli kuhusu ufalme wa Babeli

    Wasalaamu ndugu wana jf. Jamani nataka kuelewa machache kuhusu huu ufalme, inasemekana huu ufalme ulikuwa ufalme wenye nguvu zaidi kuliko falme zote duniani na inasemekana pia ulitawala dunia yote chini ya mfalme Nebukandneza, je ulitawala na afrika yote mpaka kusini mwa jangwa la...
  4. L

    Nataka kuwa mjasiriamali mkubwa mwenye mafanikio makubwa

    Jamani habari mana jf Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha kikatoliki mwenge kilichoppo Moshi nina chukua education (economics and geography). Kwanza kabisa mwaka wa 2014 nilikuwa UDOM nikichukua bachelor of business admistration, nilisitisha kozi kwa sabaabu sikuwa ma mkopo na maisha yakawa...
Back
Top Bottom