Recent content by lukubha lugosha

  1. lukubha lugosha

    Andika maneno matatu yenye ujumbe mkubwa

    Sizonje anampenda Bashite
  2. lukubha lugosha

    Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

    Kumbuka kipindi anawateua alisema yeye hateui vilaza, pia kumbuka , wale vijana waliofukuzwa UDOM mwaka Jana waliitwa vilaza, kwa mantiki hiyo kilaza ni nani?
  3. lukubha lugosha

    List ya "Single Girls" ndani Ya Jf..

    Sijawahi tembelewa PM na single girl
  4. lukubha lugosha

    Mrejesho: Upungufu wa nguvu za kike

    Sasa hivi nimepona 100% imekuwa ya kutekenya tu km remote, nawashukuru wote maana nilifikia hatua mbaya (hata kamoja kwa wiki kalikuwa ka kulazimisha)
  5. lukubha lugosha

    Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

    Wanaume Wa kolomije ni low quality
  6. lukubha lugosha

    Ifike mahala tumpe heshima yake uyu kiumbe,(Messi)

    Mchezaji mmoja hawezi akabeba timu, mfano Wa wanafunzi drsn, mwanafunzi Wa kwanza ana division one ya point 7, halafu anayemfuatia ana four ya 30 wengine waliobaki wanafunzi arobaini wana sifuri wote, Hivyo mchezaji mmoja hawezi akabeba timu japokuwa uwezo wake kwenye timu utaonekana, na...
  7. lukubha lugosha

    Najuta kuoa mwanamke mlokole

    Salary slip? Wanaangalia basic salary, kumbe Mimi afadhari nikomae na wakwangu naoana tunaelewana
  8. lukubha lugosha

    Nimetua mzigo, sihitaji mwanaume tena

    Lazima ufanye pilot kwanza, ndo uendelee na mambo Mengine ila pole sana, wakati wewe unamwaga chakula jirani yako analia na njaa, Nina cku nyingi cjakutana nayo, cjui twaweza wasiliana
  9. lukubha lugosha

    Natafuta mume

    Au ina GPRS?
  10. lukubha lugosha

    Natafuta mume

    Mwanamke naye anaweka vigezo! Badala ya mwanamme, Not to that extent
  11. lukubha lugosha

    Serikali yaajiri walimu 3,081 kupunguza uhaba wa walimu wa sayansi, sanaa ina ziada ya walimu 7,463

    Huu ugomvi sijui utakuwaje, walimu wengi Wa primary na sekondari haziivi ( I can say they have different polarity), walimu Wa msingi wanajiona ndio wao, sekondari ndio wao hapo sasa
Back
Top Bottom