Utabibu;Namba na nyota zinasema Leo man utd anashinda ,wazee wa kubet piteni hapa

py thon

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
2,471
4,424
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
 
Mzee vipi?

Jana kwa yanga na waarabu aliniacha hoi....maana alitabiri ikawa kweli
Na hata ya yanga na waarabu nyumbani alitabiri akapatia. Huyu jamaa ana kitu flan inabd atusaidie tumpge mhindi. Hata hii ya Leo kapatia. Goli la kwanza man u walishika refa hakuona wakaenda kufungwa Chelsea. Nimegundua nyota iking'aa na bahati inakua kwako
 
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Dk ya 68 man u 2-0 chel. Unaanza kunishawishi mjukuu wa Yahaya. Ulitabiri kwa yanga ikawa
 
Na hata ya yanga na waarabu nyumbani alitabiri akapatia. Huyu jamaa ana kitu flan inabd atusaidie tumpge mhindi. Hata hii ya Leo kapatia. Goli la kwanza man u walishika refa hakuona wakaenda kufungwa Chelsea. Nimegundua nyota iking'aa na bahati inakua kwako
Ebhna naanza kubeti mara 1 ntakuwa namtumia vocha tunajofungia pm anacalculate game zote naweka zangu laki na nusu no way
 
Duuuuu walahi kidogo niweke laki ila nikaweka ten kwa uwoga

Ningeweka laki mana ake ningekula km million 3 ivi
Ningejiteka kwa siku mbili ivi nikale upape wa bahari mitaa ya ubalozini

Sio uku uswazi tunakutana na vinyesi tu
dah mkuu umeharibu yan haoo ungeweka tu now najua usingekuwa huku uswazi leo usingekula kitaa
 
Back
Top Bottom