Tuliwàmbia bunge bila chadema alinogi mkabisha sasa mmeona wenyewe da mdee alivyofunguka yâan nàamin mdee peke yake ni sawa na wabunge wote wa kike wa ccm
Kila siku najiuliza eti nchi îtaingia kwenye machafuko hayo machafuko ayawezi kusababishwa na raia kwa raia narudia haitatokea bali kwa askari polisi kwa kutumiwa na serikali ndio watakao leta hayo machafuko ambayo pinda ànayazungumzia kualalisha vichapo
Viti maalum huyo naunga hoja asilimia mia hawanaga hata vya kuongea wanauzi ma mbulula hawa ivu hawa ni wachaga lisu msigwa wenje zito mdee akunan heche slâ wachaa hawa hayoo tumeyashika vibaya
Duh iyo nayo kali head of state naye anataka ushaidi na mhimili wa mahakama una kazi gani na bado tumebakisha àtua chache tunachukua nchi kabla ya 2015 mungu tubariki makamanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.