Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
kauri aliyo itoa jana RPC
wa Arusha inanipa wasi wasi sana
Kwamba walio rusha bomu
anawafaham ila hawez kuwataja coz
wana nguvu zaidi yake kwa kwel
cjaelewa alikua anamansha nin?
inasemekana alîitoa wakati akihojiwa na mhariri wa Nipashe
wa Arusha inanipa wasi wasi sana
Kwamba walio rusha bomu
anawafaham ila hawez kuwataja coz
wana nguvu zaidi yake kwa kwel
cjaelewa alikua anamansha nin?
inasemekana alîitoa wakati akihojiwa na mhariri wa Nipashe