Mbowe: Tukio la mlipuko lina mambo mengi ndani yake

Mbowe: Tukio la mlipuko lina mambo mengi ndani yake

Tatito kubwa wachangiaji wa hii thread ushabiki wa vyama ndio mmeutanguliza mbele, mpaka tuondokane na huu ushabiki ndio tutaweza kulifikisha taifa letu mahala salama.
 
Kwa hiyo Chagonja Na mngulu ndio wametumwa kwenda kuongeza nguvu!
 
attachment.php
 
Mungu yuko pamoja nanyi makamanda kuna watu wanakela mh mbowe mpambanaji atatoa kaul nakuambia na hutaamin na kielele chako
 
PERFECT,

Mkuu, hayo yote yametoka wapi tena?

Kumuomba Mbowe ashirikiane na polisi ni unafiki na uchonganishi?

Kuhusu uzushi nadhani uelekeze tuhuma hizi za Slaa, kwani yeye ndiye amekuwa akijitutumua kuwa na intelijensia mathubuti kumbe hana lolote.
Hilo la ajali ya pikipiki kama ni kweli(maana hujakanusha) sasa nimepata jibu kwa nn always unapost uozo happa, hiyo ajali kumbe iliharibu ubongo wako na kukuondolea uwezo wa kufikiri! from now nakuchukulia kama chizi tu!
 
ndugu yangu chadema tuna viongozi makini sana hawafanyi kazi kwa kukurupuka xo iyo kauli ya haraka kachukue kwa mwigulu
 
Mbowe alisema chama chake kwa sasa hakiwezi kutoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo la bomu kwa sababu wanafuatiliwa na baadhi ya askari polisi na maofisa wa Usalama wa Taifa.

Chadema mpelekeni shule huyu kiongozi wenu afanye kozi kama zile za akina nanihiii..... kutoka Cambridge International College waliposoma makilaza wenzake, pengine anaweza kuacha kufikiri kwa kutumia makalio na badala yake akawa anatumia kichwa.
 
safari hii hamuwakamati waarabu maana wameonekana arusha juzi
 
Polisi walishatoa majibu ya Upelelezi kule Nyololo Iringa? ile kesi waliyomfungulia polisi wao imeishia wapi? Vipi Morogoro walishampata aliyefyatua kitu chenye ncha kali? hawakupewa ushirikiano?

Jiheshimu kwanza mzee kabla hujatokwa na povu jingi mdomoni



Mbowe akizungumza katika hospitali ya Selian jana aliwataka wanachama wa chama hicho watulie kwa sababu tukio hilo ni kubwa na lina mambo mengi ndani yake.

Alisema wanachofanya sasa ni kuhakikisha kuwa watu waliojeruhiwa katika tukio hilo wanapata matibabu kwanza.

Mbowe aliwataka watu wote waliopotelewa na ndugu kufika katika hospitali zote za mji wa Arusha kutambua ndugu zao waliojeruhiwa.

Alisema Chadema itagharimia matibabu ya watu wote waliojeruhiwa katika tukio hilo.

Mbowe alisema chama chake kwa sasa hakiwezi kutoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo la bomu kwa sababu wanafuatiliwa na baadhi ya askari polisi na maofisa wa Usalama wa Taifa.

My take;

Mhe Mbowe, watanzania wote tungependa kujua hayo mambo mengi yaliyo ndani ya tukio la mlipuko uliotokea kwenye mkutano wako wa kufunga kampeni ni yapi hasa.

Ni vyema ukaweka hisia zako juu ya jeshi letu la polisi pembeni, na ushirikiane nao kuwapa ushahidi usio na shaka ili waweze kuwabaini wahusika wakuu wa tukio hilo la mlipuko.
 
jee na huko ni uamshoo..nyinyi tanganyika kujitioa maakili pale wazanzibari wanapotafuta haki zao... mlikua kila tukipigania haki zetu za kuonewa na kupigwa nyinyi mnafurahia.. kumbukeni katika kutafuta haki lazima action kama hizo huwa zinafanywa na wasopenda au walokua na ham ya kuburuza wenziwao kila siku.. hakikisha kila upande flan ukupata shiddda wewe usifurahie bali jua ndo mcahkato wa kutafuta haki.. by the way tuko pamoja kwa hali na mali ndugu zetu wa tanganyika na mungu tawapa uwepesi on the way.. bali next time wacha kufurahia sisi tukiwekwa ndani na kupigwa kule zanzibar kwani ukweli ndo huo.. ni haki yetu tuu tunadai na tutaendelea kudai
 
Kweli kuwa ndani ya CHADEMA ni kama kuwa ndani ya gereza la fikra.

Kwahiyo sasa hivi hamtaki tena kauli wala ushahidi wala kujua anayo yajua Mbowe kuhusu tukio la mlipuko?

Hata kama tumefiwa na tunaendelea kuuguza majeruhi, haituzuii kuwatafuta wahusika wa tukio.
Wewe tamko la Mbowe linakuwasha nini? ebu fuata mambo yako wewe mchumia tumbo mkubwa
 
Mbowe akizungumza katika hospitali ya Selian jana aliwataka wanachama wa chama hicho watulie kwa sababu tukio hilo ni kubwa na lina mambo mengi ndani yake.

Alisema wanachofanya sasa ni kuhakikisha kuwa watu waliojeruhiwa katika tukio hilo wanapata matibabu kwanza.

Mbowe aliwataka watu wote waliopotelewa na ndugu kufika katika hospitali zote za mji wa Arusha kutambua ndugu zao waliojeruhiwa.

Alisema Chadema itagharimia matibabu ya watu wote waliojeruhiwa katika tukio hilo.

Mbowe alisema chama chake kwa sasa hakiwezi kutoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo la bomu kwa sababu wanafuatiliwa na baadhi ya askari polisi na maofisa wa Usalama wa Taifa.

My take;

Mhe Mbowe, watanzania wote tungependa kujua hayo mambo mengi yaliyo ndani ya tukio la mlipuko uliotokea kwenye mkutano wako wa kufunga kampeni ni yapi hasa.

Ni vyema ukaweka hisia zako juu ya jeshi letu la polisi pembeni, na ushirikiane nao kuwapa ushahidi usio na shaka ili waweze kuwabaini wahusika wakuu wa tukio hilo la mlipuko.

Atoe ushirikiano wa aina gani kwa police angali aliyerusha bomu alitoshwa kwa gari ya hao hao police?
 
Ni vema Mh. Mbowe ukatoa tamko kama chama kwa haraka iwezekanavyo. Kwasasa katika jamii zimezagaa habari nyingi zenye mkanganyiko na zingine zikiwahusisha CHADEMA ukiwemo wewe mwenyekiti wake. Mbona POLISI wao wamekwisha toa tamko lao, kwanini kama chama msikae maramoja na kutoa kauli.

View attachment 97831

Kwanini msidai tamko la ccm ambao ndo wanaosadikika kuhusika zaidi?
 
Kutafuta wahusika na mashahidi wa hili tukio pia ni huduma. Mimi nimewekeza nguvu zangu kuwapata wanaojua chochote kuhusu tukio la mlipuko lililo tokea jana.

Mtafute mwigulu au mulongo
 
Kweli kuwa ndani ya CHADEMA ni kama kuwa ndani ya gereza la fikra.

Kwahiyo sasa hivi hamtaki tena kauli wala ushahidi wala kujua anayo yajua Mbowe kuhusu tukio la mlipuko?

Hata kama tumefiwa na tunaendelea kuuguza majeruhi, haituzuii kuwatafuta wahusika wa tukio.

Kweli kuwa ndani ya CHADEMA ni kama kuwa ndani ya gereza la fikra-fact

 
Mwenda pole hajikwai. Huwezi kukurupuka katika suala kama hili.
 
Mbowe akizungumza katika hospitali ya Selian jana aliwataka wanachama wa chama hicho watulie kwa sababu tukio hilo ni kubwa na lina mambo mengi ndani yake.

Alisema wanachofanya sasa ni kuhakikisha kuwa watu waliojeruhiwa katika tukio hilo wanapata matibabu kwanza.

Mbowe aliwataka watu wote waliopotelewa na ndugu kufika katika hospitali zote za mji wa Arusha kutambua ndugu zao waliojeruhiwa.

Alisema Chadema itagharimia matibabu ya watu wote waliojeruhiwa katika tukio hilo.

Mbowe alisema chama chake kwa sasa hakiwezi kutoa tamko lolote kuhusiana na tukio hilo la bomu kwa sababu wanafuatiliwa na baadhi ya askari polisi na maofisa wa Usalama wa Taifa.

My take;

Mhe Mbowe, watanzania wote tungependa kujua hayo mambo mengi yaliyo ndani ya tukio la mlipuko uliotokea kwenye mkutano wako wa kufunga kampeni ni yapi hasa.

Ni vyema ukaweka hisia zako juu ya jeshi letu la polisi pembeni, na ushirikiane nao kuwapa ushahidi usio na shaka ili waweze kuwabaini wahusika wakuu wa tukio hilo la mlipuko.

Hili alilolisema mheshimiwa Mbowe ni sahihi kwani na mimi nilikuwa eneo la tukio na baada ya mlipuko milio ya risasi ilianza kusikika na watu walikuwa wakikimbia hovyo kujinusuru,yupo mama aliemwona alierusha bomu na aliposema kuwa mkamatane huyo alipigwa risasi mbili na kuanguka papo hapo.Hata waliokuwa wakijitahidi kumdhibiti aliefanya kitendo kile walipigwa risasi za miguuni na bada ya hapo gari ya polisi iliingia kwa kwa fujo katikati ya eneo la tukio na kufyatua mabomu ya machozi na kupiga pia risasi za moto na wakamchukua mtenda mauaji na kuondoka nae.Nnalishangaa jeshi la polisi ni kwa nini wanaficha taarifa hii.Na pia nimesikitika ni kwa nini waandishi wa habari hawakuwauliza madaktari juu majeraha waliyoyapata wananchi yametokana na risasi?.

Wengi wa majeruhi walijeruhiwa n risasi za moto,kuthibitisha juu ya hilo gari la matangazo la Chadema lina matundu ya risasi mawili moja lipo katika tank la mafuta na tundu lengine lipo katika mlango wa kushoto wa gari.Yapo yanaonekana hata wataalamu wa mabomu waliokuwapo leo katika eneo la tukio walilishusha tank la mafuta kwa nia ya kuitoa risasi hiyo.Majeruhi katika hospitali ya Mount Meruwengi wao wametolewa risasi miguuni.Swali je ni kwa nini polisi wamelificha hili?.....Binafsi kwa kuwa nililishuhudia tukio lile kwa macho yangu,polisi wanahusika kuwalinda watuhumiwa na kwa sababu hiyo nao wanahusika.Ni majonzi makubwa tumewapoteza binaadamu wenzetu,watu wamepata vilema vya maisha yao yote na sijui ni lini udhalimu huu utaisha.
 
Back
Top Bottom