ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
yaani sasa ccm ni kama wamepata penati isiyokuwa na golikipa....yaani ni kupongezana ndio kazi iliyo baki...
SASA KM WAJINGA WANADENGUA KUHUDHUIRIA WALIFIKIRI BUNGE HALITAENDESHWA?
Hata kwa miaka yote iliyobaki Serikali ya tanzania itakuwepo na kila kitu kitaenda bila kipingamizi chochote
Hivi Bunge lenye Kebehi madharau faida yake ni nini mliyoipata toka CHADEMA waingie humo Ukumbini
Ni vizuri kabisa na kwenye Katiba iorodheshwe watakaosusa au kuomba Muongozo Kura zipigwe na Bunge litaamua kutokna na kura
Sasa hao Wabunge wanaozila kuhudhuria wanajua ni Kodi za nani zinazowalipa Marupurupu na mishahara?
Sijaskiliza bunge tangu juzi
Mawazo haya yanapatikana kwa wapumbavu tu....ni ngumu sana kuyapata kwa watu wenye hekima na busara.
Naogopa kupigwa ban, serukamba you.... Ipo siku isiyo na jina mtatoa hesabu ya mauaji yote mliyoyafanya kwa uroho wa madaraka! uwezo wako wa kufikiri umeishia kwenye pua yako! Umejaa ujinga unaotokana na kuvimbiwa ufisadi! Umeniharibia siku kabisa!
tatizo ya mnaonunuliwa mnawaza pesa tu mda wote, NAIJUE KODI ZA MNAOWAUA NDO ZINAWALIPA HAYO MARUPURUPU NA MISHAHARA TATIZO LENU MNAAMINI WAZUNGU WATAWAPA KILA KITU!
Bunge limeisha salama bila ya wapumbavu wenye kupiga kelele na show on za kwenye Luninga kuwepo
Na Kikao kingine hivyohivyo wazile kuhudhuria waone kama Bunge halitaendelea sembuse Nchi yetu kufika salama.
hivi wamepata nini hasa kama Bajeti yote imepita? ni aibu kwenu mashabiki na utoto wenu maana nikisema ni upumbavu nitaonea mtu na sitaki dhambi, maana kuna wengine ni MITUSI tu kuanzia mitandaoni hadi Bungeni
Hapa hatuna Bunge kabisa, hao ni makada wa CCM wanjifurahisha kwa kuunga mkono serikali mia kwa mia,
Wakati mwingine mnaotaga ndoto za mchana?Si kosa lako, kosa la mfumo uliokulea, umekufanya uone ufisadi na maovu mengine kama hayo kama dini... CCM na ufisadi ni kama ngozi ya mwili, ukiivua tu unakufa! Kwa hiyo endelea kula nchi, zamu ya wenzako ikifika nao watatesa japo sasa wanaumia kwa mashitaka ya uongo, wakati huo mfumo uliowalea utakuwa umefutika na ninyi mtakuwa mmeshuka!