Bungeni: Mdee aishukia serikali!

Bungeni: Mdee aishukia serikali!

dah yaani wewe mburula kweli. mbunge hujamuona siku nyingi halafu unamshabikia. pole sana na mbunge wako kilaza huyo. 2015 ataipata fresh
Amechangia vzr kwa kuionesha kama taifa tunaweza kukusanya kodi na kuongeza mapato kwa taifa!kazi yako ya buku sabasaba tumeiona!
 
Mkuu, kama kuna ushahidi wowote ule unaoonyesha uhusika wa CCM kwenye lile tukio la mlipuko basi tunawaomba muupeleke kwenye mamlaka zinazo husika, tena kamishna ametoa mpaka ruhusa ya kuupeleka ushahidi huo Ikulu, sasa mpewe nini ili mthibitishe hizo tuhuma zenu? CHADEMA ina maadui wengi, wenda ni hao maadui wao wengine ndio waliolipua bomu pale Soweto na sio serikali kama mnavyotaka kuaminisha watu humu!

Toka lini ushahidi ukapelekwa ikulu!,hapo yaonyesha uroho wa madaraka na kutokuwa na utawala bora.
 
Juzi ulimsifia Msigwa leo Mdee, inaonekana Chadema unakikubali.
ila mambo madogo madogo ndio yanakufanya ufanye tofauti na moyo wako unavyoamini.!!

mambo gani hayo mkuu?tiririkaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Afu kama huyu anaitwa zambi cjui dhambi anaboa

Huyu Zambi ndio yule aliyelipuliwa na Kafulila bungeni kuwa alimfumania anaomba rushwa kutoka kwa mtendaji mmoja wa halmashauri; chama cha magamba na uozo wake wote huo wamempa Zambi kuwa mwenyekiti wa magamba mkoa wa Mbeya!!! Jamaa anajitahidi kusema sana bungeni kama njia ya kujitakasa na rushwa aliobambwa nayo kutoka kwenye halmashauri!!!
 
Bado wewe idawa, utaikubali chadema tu kwani kwani huwezi kubakia na roho ya paka wakati unaona jamii inaangamia kwa sbb ya watu wachache, iko siku nafsi itakusuta!

ha!ha! mkuu naona hujanisoma vizuri.!!!
 
Akiwa ana changia bungeni, mhe Halima Mdee ambae ni mbunge wa jimbo la kawe, ameipa za uso serikali kwa kuiambia amelaani vikali upotoshaji uliofanywa bungeni kuhusu mlipuko uliofanywa Arusha kuwa ni CHADEMA ndio walio husika.

Aidha, mhe Halima Mdee amesema, CHADEMA watakuwa ni wendawazimu wa kujilipua wenyewe kwa lengo la kujitafutia umaarufu au kutaka huruma kwa wananchi, wakati tayari nchi imewakubali, na mziki wa CHADEMA watauona rasmi 2015.

Ndugu ulichokiwasilisha ni sawa kwa sababu ndivyo alivyosema Mh. Mdee lakini ujumbe uliouwasilisha hautakuwa mbali sana na wewe kwani kama sikosei michango yako mingi hapa JF huwa imeegamia upande unaolaumiwa na kupewa vidonge na Mh. Mdee, kama umehamia upande wa wapigania ukombozi tunakukaribisha KARIBU SANA
 
Huyu Mdee nimemsifu kwa kukanusha bila ya kurusha tuhuma zozote kwa chama ama mtu yeyote yule. Amekomaa kisiasa!

Hivi leo umekula nini mbona umeonyesha kuwa na akili nyingi kama shetani? Leo, kwa mara ya kwanza nakupa LIKE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu, kama kuna ushahidi wowote ule unaoonyesha uhusika wa CCM kwenye lile tukio la mlipuko basi tunawaomba muupeleke kwenye mamlaka zinazo husika, tena kamishna ametoa mpaka ruhusa ya kuupeleka ushahidi huo Ikulu, sasa mpewe nini ili mthibitishe hizo tuhuma zenu? CHADEMA ina maadui wengi, wenda ni hao maadui wao wengine ndio waliolipua bomu pale Soweto na sio serikali kama mnavyotaka kuaminisha watu humu!


Katibu uenezi, inakuwaje kama chadema hatuna imani na hiyo ikulu yenu? Tupeleke wapi?
 
Tuliwàmbia bunge bila chadema alinogi mkabisha sasa mmeona wenyewe da mdee alivyofunguka yâan nàamin mdee peke yake ni sawa na wabunge wote wa kike wa ccm
 
Ni upuuzi kulaani eti upotoshaji wakati ushahidi mnao mmeukalia. Hata mimi nasema CDM mmehusika otherwise mlete huo ushahidi mnaodai mnao.
 
big up dada angu mdee. mungu akutie moyo wa ujasiri jina lako litaandikwa ktk kitabu cha wana mapinduzi wa kweli
 
chadema ndio mkomboz wengine wababaishaji
 
Back
Top Bottom