binafsi sipendi tabia za wanawake kujali pesa kuliko mapenzi,unakuta mwanamke anakubebesha shida zote utafikiri wewe ndo umemuumba,hakupi mawazo ya kutafuta bali ni kutumia tu,bora kutafuta shugar mamy tu
Mara baada ya kumtongoza tu alifungua gunia la shida utafikiria mimi ndo nilimtwika.
Hata mzigo sija gonga. Mara nimeipenda T-shirt yako naiomba, mara sijala tangia jana, mara ninashida na elfu 50.Ananipigia simu na sms zote ni shida tu.
Ndugu zangu kwa ambae amekumbana na sakata la namna hii...
Habari wana jamii.naomba msaada kwa anayeweza kurecomend shule nzur kwa boarding fm 1 na darasa la kwanza.wote wamesoma english medium primary na nursery.Natanguliza shukurani
Nimekuwa na grocery kwa miaka 4 natumia friji na viti vyangu binafsi,kila nikiwaona ma salesman wanazungusha,wanataka kitu kidigo,hadi mabango anayekuletea anakuuliza utanilinda kidogo basi.
Swali ni jukumu la nani kutoa hivyo vitu nini terms and conditions.TBL=Tanzanai Breweries...
Wana jamvi,
Nimekuwa namsikia huyu kijana lakini sijajua cv yake,je mwenye details zake aweke hapa,age wise,educational background nasikia anapesa kuliko age yake.
Naweka mezani
wakatabahu mwananchi
mkuu umenikumbusha hiyo mafia story,nimeisoma kama mara tatu,na niko na dvd yake,'The God Father' ni kiboko,personally i like all sort of crime and didective novels na stories,kwa sasa nasoma'safer dead' ya James H Chase
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.