Novel writer gani ni best kwako?

Novel writer gani ni best kwako?

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,119
a mdogo kabisa niliwahi kusoma novel za mtu mmoja marehemu kwa sasa alikuwa anaitwa Elvis Musiba na baadae Ben Mtobwa wakiwa na characters wao waliowapa mija ya Willy Gamba na Joram Kiango. Mnawakumbuka hawa?

Baadae nikahamia kwenye yale makubwa na my favorite hapo alikuwa Sidney Sheldon ambaye nimesoma novel zake zoooote kuanzia "The naked face" mpaka ya mwisho "Are you afraid of the dark" aliyoitoa kabla hajafariki dunia. Katika zote my favourite ni "If tomorrow comes"

What was yours?
 
Ben Carson, na mwandishi wa big daddy. Nimezisoma sana stori za kina willy gamba Na joram kiango, zilinikoga moyo.
 
Ben Carson, na mwandishi wa big daddy. Nimezisoma sana stori za kina willy gamba Na joram kiango, zilinikoga moyo.
Nakumbuka ile ya Tutarudi na roho zetu nilikuwa naifuatilia sana kwenye gazeti la Shaba enzi hizo asee
 
The Brethren, Street Lawyer, The Testament, A painted House....
Mi hiyo ninayosema its my best ilibidi nitafute na series yake ya video asee ingawa sio nzuri kama novel yenyewe
 
Danielle Steel
Okot P' Bitek
Shaaban Robert
Johan Lindsey
 
Danielle Steel
Okot P' Bitek
Shaaban Robert
Johan Lindsey
Yaani wabinti karibu wote waliosoma novels na hasa romantic novels watakwa mbia Danielle Steel.........

Hahahahaaa umenikumbusha Clementina kwenye song of lawino
 
Kwangu Sidney Sheldon ni kiboko! Nimesoma novel zake zote ila ambazo mpaka leo zinanikuna sana ni Master of Game, Rage of Angels, Doomsday consipiracy, The best laid plans na If tommorow comes!
Nimetengeneza collection ya novel zote za Sheldon.
 
Naipenda sana Song of Lawino, hadi leo bado naisoma.

Yaani wabinti karibu wote waliosoma novels na hasa romantic novels watakwa mbia Danielle Steel.........

Hahahahaaa umenikumbusha Clementina kwenye song of lawino
 
Aisee JAMES HADLEY CHASE na novel zake nyingi sana.
 
Kwangu Sidney Sheldon ni kiboko! Nimesoma novel zake zote ila ambazo mpaka leo zinanikuna sana ni Master of Game, Rage of Angels, Doomsday consipiracy, The best laid plans na If tommorow comes!
Nimetengeneza collection ya novel zote za Sheldon.

Dah hapo kwenye master of the game umen ikumbusha Kruge Brent, na hapo kwenye Doomsday umenikumbusha Commander Bellamy
 
namkubali sana mwandishi WOLE SONYIKA kwa kazi zake kama:
The Lion and the Jewl au lile shairi lake "My Next Door Neighbor"
 
Nimesoma za Catherine Marshall,Robin Cook,James H Chase,Nicholaus Evans,Agatha Christie,John Grisham,Daniel Steel
 
Back
Top Bottom